Chungurumbira
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,170
- 571
CCM ina matatizo mawili ambayo yanaondoa umoja. La kwanza ni defection ya Lowassa. Tatizo la pili ni pale Kamati ya Usalama ilipowachagua watu watano wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu,na Rais Kikwete akayapokea yale majina na kuyaweka kapuni na kutoa listi yake mpya mfukoni. Na labda wapo wengine CCM ambao hawakubaliani na vyote,uteuzi wa Kamati ya Usalama na uteuzi wa Kikwete.
Huyu atakuwa batili mpaka arudishe nyumba zetu na bil. 252
agh..
mimi anaechoma nyavu za mafukara wakati wakubwa wanakula BOT kwa fujo,inaniuma..
kuvunja nyumba za mafukara bila fidia wakati waliruhusiwa na serikali kujenga,wakati huohuo nchi kama ushelisheli masikini wanajengewa nyumba na serikali,inanipa mawazo..
kuwavunjia sheli wazalendo wanaotoa ajira kwa maskini,wakati sheli zipo kihalali,ni kuongeza idadi ya wanywa viroba..
agh kutumia ubabe kunyanyasa wakandarasi tukalipa fidia trilioni naona nalo linauma zaidi..
Lowasa njoo..
uwatetee mashekhe..
babu sea na wanawe..
wanywa viroba..
wahanga wa tokomeza..
waliokopwa mahindi...
wajane waliopoteza waume zao january 27 2001..
familia ya mwangosi..
uyatetee mabilioni ya mchakato wa katiba mpya..
bila kumsahau kumleta balali wetu..miss him sana sana.
Na hiki ndicho CCM wanakificha kwa mgongo wa Richmond ya 2008!!
Na DECI nayo walikula!! CCM ina laana hii!!
hivi nyie mnapoeleza hizi porojo mnaelewa? au ndo hamjielewi?,nijibu haya
1,slaa alipotaja richmond 2010 alikuwa ni ccm ?
2,mnyikaalipotanya richmond ubungo na nyaraka amezishika mkononi ilikuwa ccm?
3 lema alipowaapisha watu wa arusha soweto na kumtaja lowasa kuwa ni shetani maana fisadi ni shetani alikuwa ni ccm hiyo?
tatizo nikubabia mambo kama haujui kitu kaa kimia,
we ropoka tu unazani sheria haijapitishwa watakapokuta ushaidi utalialia kama kibogoyo tu,
agh..
mimi anaechoma nyavu za mafukara wakati wakubwa wanakula BOT kwa fujo,inaniuma..
kuvunja nyumba za mafukara bila fidia wakati waliruhusiwa na serikali kujenga,wakati huohuo nchi kama ushelisheli masikini wanajengewa nyumba na serikali,inanipa mawazo..
kuwavunjia sheli wazalendo wanaotoa ajira kwa maskini,wakati sheli zipo kihalali,ni kuongeza idadi ya wanywa viroba..
agh kutumia ubabe kunyanyasa wakandarasi tukalipa fidia trilioni naona nalo linauma zaidi..
Lowasa njoo..
uwatetee mashekhe..
babu sea na wanawe..
wanywa viroba..
wahanga wa tokomeza..
waliokopwa mahindi...
wajane waliopoteza waume zao january 27 2001..
familia ya mwangosi..
uyatetee mabilioni ya mchakato wa katiba mpya..
bila kumsahau kumleta balali wetu..miss him sana sana.
Sheria ipi ya watu kutolipwa DECI yao mpaka leo!! Hii sheria imetungwa ili kuwatungua watu au!!
Bila katiba Mpya ile iliyokatika rasimu ya Warioba tutashuhudia Escrow na Richmond za kumwaga!! Piga chini CCM !
mkuu kuna bomu la asilimia 25 ya tanzanite zidi ya sumaye akiwa waziri mkuu linakuja ,mpe salamu zake summaye,
hatwabie haya kwanza,
1,richmond ni ya nani tena aite vyombo vya habari na kutanga waziwazi kama alivyafanya slaa, na sitaa,
2,milion 300 za ujenzi wa nyumba ya mbunge monduli akiwa waziri mkuu,
3 wizi wa pesa akiwa mkurugenzi wa icc
akijibu haya ndo akaseme ya wabakaji wa wanaorawiti watoto ,
hivi nyie mnapoeleza hizi porojo mnaelewa? au ndo hamjielewi?,nijibu haya
1,slaa alipotaja richmond 2010 alikuwa ni ccm ?
2,mnyikaalipotanya richmond ubungo na nyaraka amezishika mkononi ilikuwa ccm?
3 lema alipowaapisha watu wa arusha soweto na kumtaja lowasa kuwa ni shetani maana fisadi ni shetani alikuwa ni ccm hiyo?
tatizo nikubabia mambo kama haujui kitu kaa kimia,
CCM ina matatizo mawili ambayo yanaondoa umoja. La kwanza ni defection ya Lowassa. Tatizo la pili ni pale Kamati ya Usalama ilipowachagua watu watano wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu,na Rais Kikwete akayapokea yale majina na kuyaweka kapuni na kutoa listi yake mpya mfukoni. Na labda wapo wengine CCM ambao hawakubaliani na vyote,uteuzi wa Kamati ya Usalama na uteuzi wa Kikwete.
kwani huo upatu walifanya na ccm au na wachungaji au hao wachungaji walikuwa makada wa ccm?
unasema uongo na hata ushaidi hauna wakati wa uongo umeisha mkuu angalia usijejutia,
Nyerere hayo unayozungumza hayana mashiko.
Lowassa aliahidi kuhamia CHADEMA na wenyeviti wote waliomuunga mkono ndani ya CCM na wabunge 150.
Leo wako wapi zaidi ya Mgeja na Msindai?. ambao nao hawajafuatwa hata na mwenezi wa tawi?.
Eti Lowassa ana nguvu ziko wapi hizo zaidi ya kufanya siasa za maji taka?.
Nyerere unazalilisha jina nyerere ,maana unapotunia jina hili na kufanya siasa za maji taka basi wewe ni wale wa kununuliwa tu,nakukumbusha ebu twmbie mgombea wa ukawa alipatikana kwa utaratibu upi?
ukijibu hilo b=ndo uje kulema kelele za sijui usalama kumpendeleza rais wa ccm,
Interesting....