Uchaguzi 2020 Mgombea urais wa JMT kupitia CCM, kufanya mkutano wa kampeni Tunduma leo huku kukiwa na mpasuko mkubwa kwa majimbo ya Momba na Tunduma

Aliyeleta hivi vi smartphone, abarikiwe. Sijui ni Stephen Jobs ama? Kwa vyovyote vile abarikiwe. Niko Dar lakini ni kama niko Tanzania nzima. Haya malori yamewashinda kuficha ficha. Wayawekee maturubai. Wanafunzi siku hizi naona wanavalishwa t-shirt za njano na kijani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…