Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seif Sharif Hamad na genge lake (Jussa, Mazrui, Duni Haji & et al) plus super snitch Zito Kabwe wasubiri kuisoma namba.Maamuzi ya nani awe Rais zanzibar 2020-25 yanatokana na kikao cha hawa wazee hapa.
Aliye karibu na mangula msalimie.View attachment 1468365
Jaribu kuwa na heshima kidogo kwa vichwa vipambanaji kama hivi.Seif Sharif Hamad na genge lake (Jussa, Mazrui, Duni Haji & et al) plus super snitch Zito Kabwe wasubiri kuisoma namba.
Kikao hichi kila mmoja ana mgombea wake mfukoni awe ni wa Znz au Tz baraMaamuzi ya nani awe Rais Zanzibar 2020-25 yanatokana na kikao cha hawa wazee hapa.
Aliye karibu na Mangula msalimie.
View attachment 1468365
Mkuu umeona ccm zbar hawakuona anaefaa kuambatana na Shen!? Any way mambo ya makoloni yana mengi nyuma ya pazia, wengine tumshukuru Mola kunakucha.Mbona Rsis wa Zanzibar yuko kama yatima?
Wakati JOM yuko na Mangula na katibu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji848]Kwenye hicho kikao mzee mangula kweli huyo?au kuna jamaa wamemfanyia plastic surgery?mzee haandiki??
Hio ni dharau sana, kuna siku Muungano utakufa kimasihara, Wazanzibar wanadhatauliwa sanaMkuu umeona ccm zbar hawakuona anaefaa kuambatana na Shen!? Any way mambo ya makoloni yana mengi nyuma ya pazia, wengine tumshukuru Mola kunakucha.