Uchaguzi 2020 Mgombea Urais Zanzibar 2020 anatoka hapa...

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais Zanzibar 2020 anatoka hapa...

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Maamuzi ya nani awe Rais Zanzibar 2020-25 yanatokana na kikao cha hawa wazee hapa.

Aliye karibu na Mangula msalimie.

IMG_20200604_103433.jpeg
 
Seif Sharif Hamad na genge lake (Jussa, Mazrui, Duni Haji & et al) plus super snitch Zito Kabwe wasubiri kuisoma namba.
Jaribu kuwa na heshima kidogo kwa vichwa vipambanaji kama hivi.
Japo siviungi mkono lakini vinaisababisha serikali kujicheck.
 
Mbona Rsis wa Zanzibar yuko kama yatima?
Wakati JOM yuko na Mangula na katibu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeona ccm zbar hawakuona anaefaa kuambatana na Shen!? Any way mambo ya makoloni yana mengi nyuma ya pazia, wengine tumshukuru Mola kunakucha.
 
Lengo kubwa la CCM kushirikiana na genge la kina Lipumba kumwondoa Seif CUF ni wasiwasi ya kuwakuta ya 2015 na haswa wakati huu wakija na sura mpya ya Mgombea Urais, Tofauti na CUF ambayo ingekuwa na mgombea wake yuleyule
 
Boyz II MEN.Wanajadili ifikapo October maiti ya CDM izikwe ama ichomwe moto tusiharibu ardhi yetu tukufu.
 
Back
Top Bottom