Mgombea uspika kupitia TLP, Simon Maganza umeonesha ukomavu

Mgombea uspika kupitia TLP, Simon Maganza umeonesha ukomavu

voicer

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2020
Posts
5,545
Reaction score
11,935
Ni kijana uliyeonyesha uthubutu wako bila kutetereka.

Kujipambanua bila uoga na kueleza kile unachokiamini.

Ingawa ni mara yako ya kwanza kuingia Bungeni na pia kujieleza mbele ya wabunge wote.

Hukuogopa wala kubabaika ingawa uliulizwa maswali mengine yenye hila.

Wewe ni Hazina kwa taifa kwa siku zijazo.

Maendeleo hayana chama.

Hongera sana!
 
Naona wagombea wote 9 wamekuja na sera moja ya CCM nakumuunga mkono Mama. Kazi kazi naona inaendelea. Natamani kujua kura ya Ndugai itakaaje.
 
Mkuu swali mbona lilikuwa rahisi tu? Jibu ndio au hapana sasa mambo ya chadema yameingiaje tena? Unaonekana una chuki binafsi Na chadema.
Hao ndiyo wasiyo julikana ambao wapo kimkakati kuhakikisha kuwa wanaimaliza cdm kupitia mitandao lkn masikini hawana kitu kichwani.
 
Umeongea pumba tupu, unakuja humu kujipromo nini sasa ujinga
 
Mkuu swali mbona lilikuwa rahisi tu? Jibu ndio au hapana sasa mambo ya chadema yameingiaje tena? Unaonekana una chuki binafsi Na chadema.
Swali la kihuni lisilo na staha!

Maswali hayo na watu wa aina hiyo wanapatikana Chadema.
 
Hii id yako naiheshimu sana bro.
Ninakusihi kwa heshima usiendekeze matusi tupo tunaokuheshimu...isitoshe kila mtu anajua kutukana, ni ombi tu
Next time ukiona huna swali sio lazima kutukana humu.

Tubishane kwa hoja makini sio kuanzisha maswali ya kipumbavu yaliyoko nje ya Mada.

Usianzishe tusi halafu utegemee kujibiwa Pambio.

Wengine hatuabudu watu bali tunaangalia matendo yao.

Hatufanyi ufuasi.

Pia hulazimishwi kuchangia topic humu.

Ndio maana mnaona kila topic ikienda na wachangiaji tofauti.
 
CCM na vyama vyake rafiki wanafanya maigizo ati ya kumchagua Spika.
 
Ukomavu gani? Hujaona kwamba hivi ni vile vyama matawi ya CCM wameamua kuficha aibu ya CCM kuhusu demokrasia?
 
Next time ukiona huna swali sio lazima kutukana humu.

Tubishane kwa hoja makini sio kuanzisha maswali ya kipumbavu yaliyoko nje ya Mada.

Usianzishe tusi halafu utegemee kujibiwa Pambio.

Wengine hatuabudu watu bali tunaangalia matendo yao.

Hatufanyi ufuasi.

Pia hulazimishwi kuchangia topic humu.

Ndio maana mnaona kila topic ikienda na wachangiaji tofauti.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dogo una stress...mimi ninakemea anayekutukana...unanilalamikia tena?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dogo una stress...mimi ninakemea anayekutukana...unanilalamikia tena?
Itakuwa tatizo breakfast Mkuu, mvumilie tu [emoji23][emoji23]
 
Hakuna aliye kua serious. Kuna yule alikua mkweli kasema alikua mkoani ndio maana hajui kanuni za bunge ila yeye eti ni kichwa ata zimeza ndani ya muda mfupi.
 
Back
Top Bottom