Hao ndiyo wasiyo julikana ambao wapo kimkakati kuhakikisha kuwa wanaimaliza cdm kupitia mitandao lkn masikini hawana kitu kichwani.Mkuu swali mbona lilikuwa rahisi tu? Jibu ndio au hapana sasa mambo ya chadema yameingiaje tena? Unaonekana una chuki binafsi Na chadema.
Pamoja Sana mkuu.Hii id yako naiheshimu sana bro.
Ninakusihi kwa heshima usiendekeze matusi tupo tunaokuheshimu...isitoshe kila mtu anajua kutukana, ni ombi tu
Next time ukiona huna swali sio lazima kutukana humu.Hii id yako naiheshimu sana bro.
Ninakusihi kwa heshima usiendekeze matusi tupo tunaokuheshimu...isitoshe kila mtu anajua kutukana, ni ombi tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dogo una stress...mimi ninakemea anayekutukana...unanilalamikia tena?Next time ukiona huna swali sio lazima kutukana humu.
Tubishane kwa hoja makini sio kuanzisha maswali ya kipumbavu yaliyoko nje ya Mada.
Usianzishe tusi halafu utegemee kujibiwa Pambio.
Wengine hatuabudu watu bali tunaangalia matendo yao.
Hatufanyi ufuasi.
Pia hulazimishwi kuchangia topic humu.
Ndio maana mnaona kila topic ikienda na wachangiaji tofauti.
Itakuwa tatizo breakfast Mkuu, mvumilie tu [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dogo una stress...mimi ninakemea anayekutukana...unanilalamikia tena?
HahahaHilo ni pandikizi la ccm, hakuna Tlp hapo!