LGE2024 Mgombea wa ACT katika Jimbo la Kwimba asema “Kuna vitisho vingi. Hapa ukiuliza fedha. Unawekwa ndani”

LGE2024 Mgombea wa ACT katika Jimbo la Kwimba asema “Kuna vitisho vingi. Hapa ukiuliza fedha. Unawekwa ndani”

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Mgombea Uenyekiti wa Kijiji cha Ilula, Kata ya Ilula, Jimbo la Kwimba, Silvester Cherehani amesikitishwa kuona watu wa kijiji hicho wakipata misukosuko kwa sababu ya kuuliza mapato na matumizi ya kijiji.

Amesema "Kuna vitisho vingi. Hapa ukiuliza fedha. Unawekwa ndani. Naomba ndugu zangu nitumeni nikafanye hiyo kazi."

Naye Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Bara, Ester Thomas amemkabidhi Mzee Cherehani Ilani ya ACT Wazalendo ya Uchaguzi wa Serikali ya Mitaa, Vijiji na Vitongoji wakati wa uzinduzi wa kampeni, Novemba 20, 2024.
 
Back
Top Bottom