Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwanaume aliyenukuliwa katika kipande kifupi cha video kwa kauli yake tata kuhusu jinsia yake baada ya kudai kuwa yeye ni mwanamke, licha ya kuwa ni mwanaume kwenye kampeni za Chama cha Mapinduzi huko Makate, ametoa ufafanuzi.
Eston Chaula amedai kuwa hakuwa na lengo baya na kauli yake bali alisimama kumwakilisha binti yake Roska Chaula ambaye hakuwepo muda huo, alikuwa amesafiri kwa ajili kwenda kumuona mgonjwa huko Mbeya
Soma, Pia:
+ Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji huko Makete ambaye ni mwanaume asema yeye ni mwanamke
Binti yake ni Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji katika mtaa wa Lwangilo huko Wilayani Makete.
Video: EDMO Tv
Eston Chaula amedai kuwa hakuwa na lengo baya na kauli yake bali alisimama kumwakilisha binti yake Roska Chaula ambaye hakuwepo muda huo, alikuwa amesafiri kwa ajili kwenda kumuona mgonjwa huko Mbeya
Soma, Pia:
+ Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji huko Makete ambaye ni mwanaume asema yeye ni mwanamke
Binti yake ni Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji katika mtaa wa Lwangilo huko Wilayani Makete.