Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
Nakuunga mkono mkuu, tusiwe tusiosikia, Dr. wa ukweli kasema tuwaache tu ila tu siku ya kura tufanye kweli:nono:nafikiri mawe si sawa nawashauri hao vijana wa shule wawe waungwana kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa au uelewa japo kidogo. wangemwonyesha ishara ya chama yaani vidole viwili hewani vurugu si nzuri tutunze amani yetu ambayo ni lulu dunia nzima,
mungu ibariki Tanzania