Uchaguzi 2020 Mgombea wa Chama Cha Kijamii (CCK) David Mwaijojele afika NEC kuchukua fomu za Urais wa Tanzania

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mwenyekiti wa Chama Cha Kijamii (CCK) David Mwaijojele amefika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dodoma na kuchukua fomu za kuwania Urais wa Tanzania

Akiwa katika Ofisi za NEC, Mgombea huyo ameahidi watafanya Siasa za kistaarabu na kusema vipaumbele vya CCK ni kuihudumia jamii

Mwaijojele amekabidhiwa fomu hizo na Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…