Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Basi bwana,
Hili bandiko sikuliona mwaka 2014.
Ulimfahamu vizuri sana huyu Ndugu Mkulu wetu!


..fuatilia hotuba zake haswa wakati wa ufunguzi wa miradi ya ujenzi utasikia akitupa vijembe ambavyo tafsiri yake ni kuwa haamini ktk demokrasia yetu ya vyama vingi na uhuru wa kujieleza.

..lakini pia utaona kwamba ni mwanasiasa asiye mkweli anaye-take advantage ya uelewa mdogo wa wananchi.

..Vilevile ana tabia ya kuwazushia na kuwalisha maneno wale wote wasiokubaliana na hoja au maamuzi yake.
 

Hakuna kipindi nilichowahi kukata tamaa kama hiki.
Naona giza kali sana huko mbele;I hope i am wrong!
 
Wewe umtakii mema Prof Mbarawa.
Mkuu, ingekuwa JF ndio tunafanya vetting, hapo ndio ungesema tunamharibia!. Ingekuwa JF tunaweza kumharibia mtu, soma bandiko hili ni la lini, na tulisema nini humu, na bado, akawa.

Kauli huumba, ukimuumbia kauli njema, the right man, linakuja kutokea kweli. By the time bandiko hili linapanda, usikute hata jamaa mwenyewe hakujua kuwa atakuja kuwa yeye!.

P
 
Mazingira ya sasa ni tofauti. Tetesi kidogo zinaweza kuchukuliwa ni uasi...
 
Mazingira ya sasa ni tofauti. Tetesi kidogo zinaweza kuchukuliwa ni uasi...
No. haiwezi kuchukuliwa kuwa ni auasi, ingekuwa uasi kama tungemshinikiza kugombea 2020, lakini 2025 sio uasi!.

P
 
ulizingua wewe
 
Hongera kwa unabii na mafunuo mema juu ya dereva wa tipper.
 
This is deep.
 
Pascal!!!! Heburudi utuambie zile sababu alizokuambia Yule mtu wako wa karibu pale mwaka 2014 kwamba 2015 mgombea wa ccm atajuwa huyu jamaa!!! Tafadhali tuwekee wazi zile sababu labda tutajua namna yakuishi ktk malengo yake... Mana hali siyo kabisa... Uzi wako unasisimua na laiti tungeusoma vizuri sote Leo tusingekuwa ktk maisha haya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…