Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Salama mkuu,watu waliona mbali sana
 

Shikamoo Pasikali
 
Duh.. Huo ni unabii uliotimia. Mkuu Pascal uliona mbali

Aliona mbali kivipi tena? Mayala kasema kwamba kuna mtu kamwambia, na yeye kaja hapa JF kuleta hiyo habari. Wewe unasema "Mkuu paschal uliona mbali", mbali ipi? Jifunze ustaarabu wa kusoma bandiko kwa makini. Acha kukurukakara. Kumradhi kama nimekuudhi.
 

Paschal ulikuwa sahihi kumtilia shaka hasa utimamu wake , ni bahati mbaya kuwa walimuandaa lakini hawakumpika vya kutosha, kama nilivyosema awali JPM needed few fine tuning to become the best ..ambazo huwezi kumfanyia akiwa Rais , ni maandalizi ambayo angetakiwa afanye kabla ...
Lakini pia JPM binafsi amekuwa akijiandaa kimya kimya kwa kujiposition na kuwa mmoja wa wasifiaji wakubwa wa JK ....ni bahati mbaya au nzuri kuwa kambi ya Membe na Lowassa walim underestimate sana !!
 
Mkuu Phile, he is changing for the better, anabadilika. Kwani umeushazisikia tena zile ziara za kushtukiza?, umaishasikia tena tumbua tumbua za papara?, hujanote hata kupayuka kumepungua?.
Tusilalamike Tuu, Kulaumu na Kulaani Kila Kitu, Kwenye Mazuri Tupongeze, Rais Magufuli is Changing For The Better!.
Amini usiamini, yote anayoyafanya japo some are wrong na mengine ni udikiteta per se, lakini anayafanya kwa nia njema na dhamira safi.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Kwa vile Tanzania, tulifikishwa mahali nchi ikawa inamhitaji mtu wa aina hii, then akiendelea kubadilika, changing for the better, he has the chances kuja kuwa the best president this country has ever had since Mwalimu Nyerere!.

Ndio maana sisi wengine tunashauri
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?.

P.
 
I agree with you , and having attended meetings anazokuwapo sometimes naona change of tone ...., ila ninachokiona ana washauri wazuri ila kuna wachache kwenye "kitchen cabinet " yake ndio wanaharibu haiba yake ..., nadhani unafahamu nguvu ya watu wa jikoni , mnaweza kwenda na ushauri mzuri tu , mkiondoka wao ndio they speak over it, watu aina ya Makonda wanamuharibia sana rais image yake , lakini pia wako wakuu wa mikoa kama Mnyeti ni tatizo kubwa ......angalau naona Gambo siku hizi anajaribu kukomaaa
Mtu kama PolePole kaishiwa kabisa mbinu za uenezi na kufanya uenezi wa ccm uwe kwenye mfumo la 'manunuzi" ,
Pia anatakiwa kupunguza kuongea hadharani mara kwa mara .....sio lazima kila event yake ifanywe live coverage ...watu wakimsikia mtu sana wanamzoea na kumuona wa Kawaida ........rais sio mtu wa kuongea kila siku ,mara nyingine atumie wasemaje ili siku akinyanyuka kuwe na uzito
 
Sasa je
 
Mkuu Pasco, pole sana km hii kwako bado ni tip! Kumbe uko nyuma sn, hii ulikuwa confirmed tangu 2005 mara baada ya JK kuteuliwa kuwa mgombea, na yalikuwa ni mapendekezo ya che nkapa. Mi namuunga mkono, jamaa anafaa sn kwa hiyo nafasi.
Kumbe
 
 
Pascal Mayalla umepotea,wapi kaka
Mkuu Bato, mimi nipo sana tuu, ila pia its human nature, we human beings are not static, we are dynamic, and hence we change with time, tunaishi kwenye ulimwengu unaobadilika kwa kufuata the law of the jungle, "struggle for existence, survival is for the fittest", ili uweze ku survive ni lazima uwe fiti, na huwezi kuwa fiti kama huwezi kubadilika!. Saa hizi time zimebadilika, watu wamebadilika na Tanzania imebadilika, hivyo ili tuweze ku survive, na sisi lazima tubadilike, we have to change with time, hivyo nami nabadilika na nimebadilika.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…