Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

mkuuu bado upo JF????? unakumnuka kuwa umewahi kuchangia kitu kama hiki????? how do u feel???????
 
Mkuu Ipara, wewe ndio ulikuwa mchangiaji wa kwanza wa uzi huu, na leo nimetokea tuu kupita humu kufanya rejea haswa kwa kuzingatia ulisema nini na lini, na kulinganisha na kilichotokea na kinachotokea sasa haswa kwenye hoja ya mapungufu.

Ila pia nimekutana na uzushi huu wa Pangolin kukuhusu wewe. Kumbe ID ya Ipara iliwahi kupigwa ban ndio ikabidi yule ... wa Mama aokoe Jahazi!. Anyway hapa ulichangia mchango wa maana sana ambao ni ukweli mtupu wa kilichopo na kinachotokea!. Asante.
Pasco naona ulikuwa na nia ya kuwasiliana na mke wa magufuli naona kaingia hapa na id nyingine baada ya ile ya iparamasa kupigwa ban
Mkuu Precise Pangolin, please futa uzushi huu wa kuwasingizia watu ni wake za watu!.
P.
 
Paskali, pamoja na kuwa ULIACHA kuzitaja sababu za INNER sosi wako, miye naamini kuwa alisema ya Kweli (au angalau yanayokaribiana na ukweli). Ulo"TABIRI" hapa (soma penye rangi), ndiyo hasaa yanatokea!
 
Paskali, pamoja na kuwa ULIACHA kuzitaja sababu za INNER sosi wako, miye naamini kuwa alisema ya Kweli (au angalau yanayokaribiana na ukweli). Ulo"TABIRI" hapa (soma penye rangi), ndiyo hasaa yanatokea!
Mkuu vitu vingine usiwe unaquote, si unajua wakati wenyewe huu? Usiwape Urahisi wa
Kurejea, we hujui Pasco aliitwa kwenye kamati? Na kaahidiwa kama sio Ukatibu Wizarani
basi ukuu wa Mkoa.
 
Mkuu vitu vingine usiwe unaquote, si unajua wakati wenyewe huu? Usiwape Urahisi wa
Kurejea, we hujui Pasco aliitwa kwenye kamati? Na kaahidiwa kama sio Ukatibu Wizarani
basi ukuu wa Mkoa.
Duh!, ulijuaje?!, maana mimi mwenyewe niliyeitwa bado sijajulishwa matokeo!, kumbe kuna watu humu hadi kilichoahidiwa?!.
Basi na tusubiri...
P
 
Baada ya Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni super man, nimemkumbuka naomba nimdurusu kidogo, niliwaji kusema nini humu kumhusu mtu huyu.

P.
 
"Hili la kuamua ni Magufuli, limenistua kidogo kwa sababu kwa sisi tuliomfuatilia utendaji kazi wa Magufuli kwa kauli na matendo tangu akiwa waziri, mtu huyu ameonyesha wazi sio mtu mzima sana kichwani in terms of stability in decision making!, amefanya baadhi ya maamuzi mengi tuu kwa jazba, pupa, papara na kukurupuka kwa mtindo wa nimeamua mimi na liwalo liwe!, mwisho wa siku baadhi ya maamuzi yake ambayo mengine ni very national yanakuja kutu cost sisi kama taifa, mifano ipo, ikiwemo kuvunjwa ile Petro Station Mwanza, Uuzaji wa nyumba za serikali, Samaki wa Magufuli, just to mention but few, hivyo akipita na kuwa rais wa nchi hii, kama huu ndio mfumo wake wa kufikia maamizi, then you can just imagine, akiwa rais, atafanya maamuzi mangapi ambayo yatatucost kama taifa, ila pia kwa hulka yake, ana chance ya kuja kuwa the worst dictator this nation has ever had!. Tuombe Mungu asaidie, hili likitimia, huyu mtu abadilike, vinginevyo.. !."
 
Nimeisoma tena hii thread yako.
You are such a prophet. At least kwa case hii.
Ulichosema nini tutarajie akiwa Rais kwa wakati ule, ndivyo imekuwa. Your words have come to pass.
Congratulations Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…