Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

SAWASAWA MKUU
MIMI NA HINT KIDOGO
SIALIKUAMBIA ULEMKATABA ALIO SAINI .....UNAOWAPA NGUV,,,...

NA NDIO WALIOUSHIRIKI.
 
Sio mtu mzur hata kidogo kuna story alimzuia mwenzie na trekta wakat wa kurudisha fomu wakat wakigombea ubunge wa chato huko jamaa akachelewa kurudisha fom ofisi zakafungwa akapita bila kupingwa ana figisu za kitoto na za kikatili sana fikiria yupo kwenye chama kimoja na mwenzie ana mtendea hivyo je walio nje ya ccm inakuwaje? Kwanza anaogopa ushindani anapenda mtelezo kwa taswira halisi kuita watendaji wa serikali za mitaa ikulu kuhujumu uchaguz wa serikali za mitaa bado mambo ya udhaifu sana
 
Ndio maa Ndio maana watu wanakuhisi ni wale jamaa...
 
Mkuu SueIsmael, this is debatable, kipi muhimu zaidi kati kufanya igizo la uchaguzi and spends millions ambazo hatuna, or tuweke katiba pembeni, jamaa aendelee tuu hadi 2025 and we save, time, money and resources.
P
Hata kama unajua mwizi ana uwezo wa kuiba ndani ya nyumba yako usiache mlango wazi
Ufunge ili avunje kesho habari iwe wazi kuwa lile jambazi limevunja tena kuiba
Justfor the record
 
Miaka 6 sasa [emoji124][emoji124]
 
Halafu Pascal Mayalla hawa wa ccm huwa wanasukumiziwa huko kutokana na mfumo wao mbovu kabisa. Refer to Magu mwenyewe ambaye wengi wanaamini kuingia kwake ikulu ilikuwa ni sawa na kuokota dodo bivu chini ya mnazi!
Mkuu J Mushi, nakubaliana na wewe baadhi ya viongozi wa CCM, wanasukumizwa tuu. Ukisoma tarehe ya bandiko hili, utagundua walioamua Magufuli ndio awe rais wetu 2015 sio Magufuli mwenyewe, na wakati wanaamua hivyo wala Magufuli alikuwa hajui wala hakuambiwa!.

Hivyo mwenyewe anaamini alibeep tuu simu ikapolelewa kabla hajakata.
P
 
Ndiyo maana siipendi ccm hata kidogo.
 
Ndiyo maana siipendi ccm hata kidogo.
Sasa huko kutopenda CCM hata kidogo ni tatizo,
Sisi Wakristu tumefunzwa hata adui mpende!. Kwenye fani yetu ya habari, kuna somo la PR, ambapo the first component ni kitu kinachoitwa "appreciating the situation", kuikubali hali halisi.

Baada ya rais Magufuli kushinda urais kihalali katika uchaguzi mkuu huru na wa haki, automatically unaelewa he is going to be there for the next 10 years, hivyo hata uwe humpendi vipi, there is nothing anyone can do, labda ndoto ya Lema itimie, hivyo the best way forward ni appreciating the situation na kumkubali, umpende usimpende, hivyo baada tuu ya kupiga kura, hata kabla matokeo hayatangazwa rasmi, mimi nilitoa ushauri huu

Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

The same applies to CCM, baada ya kujua kuwa CCM itatawala milele, kwanza nimeikubali, pia nikatafuta public opinion ya wadau humu,

Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair!.

Sasa nimebakiza hatua moja tuu ya mwisho, kuunga mkono juhudi.

P.
 
We mtu una akili Sana kuliko hata mtoa uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unga juhudi mkuu alafu utuletee utabiri wa mgombea 2025
 
Nilimpigia kura huyu lakini kaharibu sana. Alikuwa na nafasi ya kuwa rais mmoja popular sana.

Hoja hapa ni ccm, haya matango pori mengine walishe wengine.
 
Nilimpigia kura huyu lakini kaharibu sana. Alikuwa na nafasi ya kuwa rais mmoja popular sana.

Hoja hapa ni ccm, haya matango pori mengine walishe wengine.
Kiukweli nimekupenda sana Mkuu J Mushi kwa jinsi ulivyo truthfully, frankly and very genuine!, ile kusema tuu kuwa ulimpigia kura Magufuli, huku huipendi CCM!, hii maana yake wewe ulichagua mtu!, Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Sasa andamana nami kidogo.
  1. Kauli huumba, nadhani humu ndani, muasisi wa kumuita Magufuli dikiteta ni mimi, nikajikuta kadri tunavyomuita dikiteta, ni kauli zetu zinamuumbia huo udikiteta, alikuwa kila akisema kitu, akifanya kitu, ninakitafutia makosa tuu na zile negatives na kuzisema, kumbe ndio tunazidi kumuumbia ubaya na alikuwa anakwenda kuwa dikiteta kweli!.
  2. Nikabadili mtazamo, badala ya kuconcentrate na mabaya yake na madhaifu yake, nikaanza kuyaangazia mazuri yake, na badala ya kumuita Dikiteta Magufuli nikaanza kumuita Malaika Magufuli, na kweli akaanza kufanya vitendo vya kimalaika Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii?
  3. Angalia matukio haya nilisema nini humu, na pima ni muda gani ulipita hadi alipotekeleza hili. Tukianzia na Lulu alipohukumiwa kifungo kwa mauaji ya Kanumba Political Capitalization: Kufuatia Kupendwa na Wengi na Kumhurumia, Jee Tumuombee Msamaha wa Rais, ili Aachiwe Huru?.
  4. Kisha angalia nini kilifuata
  5. Hukumu ya Lulu Gerezani Imesaidia Wengi, Imesaidia Mengi!, Babu Seya Nje, TV Hadi Magerezani, Mazuri Mengi Zaidi Yaja!.
  6. Huu ni uthibitisho rais Magufuli ama anasoma jf, ama it's just a coincidence. Lakini kama ukishauri jambo jema kisha likatekelezwa, huu ni uthibitisho rais Magufuli ni mtu mwema.
  7. Kwavile human beings are not static, but they are dynamic and hence they change with time and space, Magufuli naye as a human being, is changing for the better, hivyo tukitumia nguvu ya kauli zetu kumuumbia mema, rais Magufuli will end up being the best president this country has ever had!.
  8. Kutumia kauli njema kuumba mema, kunaitwa affirmation, ni kutumia powers of speech kwa kutumia affirmative statements ambazo zimemgeuza rais Magufuli kutoka kuwa dikiteta mkatili hadi malaika mkombozi wa Taifa la Tanzania. Pitia mabandiko haya ya affirmatives
  9. Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!.
  10. Magufuli is Doing Good For This Nation, Tumuassess kwa Positive Attitude, Kwa Mazuri Tumpongeze, Tumuunge Mkono Kumsupport, lakini kwa Mabaya Tumkosoe
  11. Trend Reading: Rais Magufuli amebadilika, he is changing for the better, ameonyesha uwezo, anaweza!. Mei Mosi ya leo atapandisha mishahara!.
  12. Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!.
  13. Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!.
  14. Kiukweli nimeguswa sana na uchapakazi wa Rais Magufuli!. Je, kuna uhusiano kati ya kabila la mtu, na uchapakazi wake?. Je, 2020 kuna haja ya...
  15. Dreamliner imejaa wiki nzima! Hongera ATCL na pongezi kwa Rais Magufuli, unaona mbali
  16. Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike
  17. The SGR, War, MAGUFUGAME Kidedea, MUSEVENYATTA Mikono Juu Kukubali Matokeo!, Magufuli Shujaa, Apiga Bao Kupiga Tanchi!. Hongera JPM Kwa Kuona Mbali!.
  18. Pongezi Rais Magufuli. Ameonesha uzalendo wa hali ya juu uliotukuka!, amebadilika, amejishusha, uchumi wa Tz kupaa!
  19. "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
  20. Kwa Uamuzi Huu, Pongezi Sana Rais Wetu Magufuli, Utabarikiwa na Mungu, na Taifa Pia Litabarikiwa!
P
 
..Magufuli ni mropokaji.

..hana kabisa breki ya mdomo.

..pia inaonekana hajatulia kimawazo, na Uraisi hauhitaji mtu wa namna hiyo.
Kumbe chuki dhidi yake ulianza tokea zamani?

Sitokushangaa kuanzia leo
 
Moja ya utabiri bora zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…