Uchaguzi 2020 Mgombea wako ni nani? Mgombea wangu ni Dr John Pombe Magufuli 2020

Uchaguzi 2020 Mgombea wako ni nani? Mgombea wangu ni Dr John Pombe Magufuli 2020

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
697
Reaction score
1,358
Miezi michache mwaka huu Nchi yetu inaingia Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani.

Sioni mgombea wa kufua Dafu kwenye kinyang'anyiro cha Rais zaidi ya mgombea kutoka Chama Tawala Dr John Pombe Magufuli.

Naamini wananchi watampa ridhaa tena ya kutuongoza kwenye awamu ya pili kwa mambo lukuki ambayo ametekeleza kwenye awamu yake ambayo inaisha muda si mrefu.

Kama ingekuwa amri yangu basi Dr John Pombe Magufuli apitishwe kuwa Rais tu bila kupingwa na tuende kwenye Uchaguzi wa Wabunge na Madiwani tu.

Ukweli mchungu lakini huu ndio uhalisia hakuna mgombea yoyote wa kuchuana na Dr John Magufuli kwenye Uchaguzi mwaka huu.

YA BISO CANDIDAA DR JOHN POMBE MAGUFULI

NZAMBE ATINO YO

BELELA!BELELA NA KOMBO YA MAGUFULI

#JPM KIOO TUELEKEACHO 2020


Alex Fredrick

Dar es salaam
FB_IMG_1590993591259.jpeg
 
Hapo hata asipopata kura atapita tu, ilimradi akamilishe miaka yake 10 ya katiba.


Namuombea kila lakheri Raisi wangu El-Magu
 
Hii Serikali ya CCM ni ma HINTALAMWE wa Tanzania, hawaoni shida yeyote kumwaga damu za watu kwaajili ya madaraka. Inasikitisha sana.
 
Tunaitaji Rais makini na asiyeyumbishwa kwaajili ya ustawi wa Taifa letu hao wengine watakuja kuuza Nchi na kutuletea mambo ya ajabu
 
Miezi michache mwaka huu Nchi yetu inaingia Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani.

Sioni mgombea wa kufua Dafu kwenye kinyang'anyiro cha Rais zaidi ya mgombea kutoka Chama Tawala Dr John Pombe Magufuli.

Naamini wananchi watampa ridhaa tena ya kutuongoza kwenye awamu ya pili kwa mambo lukuki ambayo ametekeleza kwenye awamu yake ambayo inaisha muda si mrefu.

Kama ingekuwa amri yangu basi Dr John Pombe Magufuli apitishwe kuwa Rais tu bila kupingwa na tuende kwenye Uchaguzi wa Wabunge na Madiwani tu.

Ukweli mchungu lakini huu ndio uhalisia hakuna mgombea yoyote wa kuchuana na Dr John Magufuli kwenye Uchaguzi mwaka huu.

YA BISO CANDIDAA DR JOHN POMBE MAGUFULI

NZAMBE ATINO YO

BELELA!BELELA NA KOMBO YA MAGUFULI

#JPM KIOO TUELEKEACHO 2020


Alex Fredrick

Dar es salaam
View attachment 1475563

Familia yako itakuwa bado changa mkuu usilaumiwe
 
Tunaitaji Rais msomi anayefahamu lugha ya kingereza vizuri,
 
Back
Top Bottom