Huu mgomo haungekuwa mrefu hivi, ila Wakenya kujitia kujua mambo zaidi ya vichwa vyao, yaani mahakama, wanasiasa, madaktari, wizara ya Afya na wizara ya Wafanyi kazi na SRC kila mtu anafafanua katiba kivyake!! Hili jambo lichunguzwe ili kuepuka hali kama hii siku sijazo