Mgomo mkubwa leo st.joseph college songea

Mgomo mkubwa leo st.joseph college songea

samakorwa

Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
36
Reaction score
4
Wanafunzi wa chuo cha st.Joseph college songea wamegoma kwa kudai kurudishwa kwa viongozi wa wanafunzi waliosimamishwa masomo,pia wanadai wahindi wanawanyanyasa.

Mgomo hadi jioni hii haujapata mwafaka kwa hiyo bado kesho wataendelea na mgomo.
 
hivi hiyo ni type gani ya wahindi? anawashinda kanji?!
 
Chezea wahindi nyie!watawatimueni wote hawana hasara wao wahindi nyie majitu meusi!
 
Hawajatulia hao ss wenyewe huku stj- dar wanazingua ile balaa yan
 
Hili ni tatizo ktk vyuo vyetu vya Tz!serikali imewaacha wanafunzi!imewatelekezakabisa na wenye chuo hufanya kama wanavyotaka!hata chuo cha saut-tabora manyanyaso ni hayohayo!
 
safi sana hao wahindi nasikia wanawafinya si muwapige na misharubu yao kwao maskn sana hafu na nyie arusha mnang'aa macho watawachapen fimbo hata hela hamjapewa nyie ni siro kabisa
 
Back
Top Bottom