Mgomo umeikumba Kenyatta Hospital, wagonjwa waanza kupoteza maisha kwa kukosa huduma

Mgomo umeikumba Kenyatta Hospital, wagonjwa waanza kupoteza maisha kwa kukosa huduma

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

MY TAKE: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Am trying to imagine muhimbili national hospital iingie kwenye mgomo 😲🙄

National hospital kubwa ukanda huu ambayo ni kimbilio la mataifa yote ywnayotuzunguka,?

Hii national hospital yao haina tofauti na dispensary moja huko itigi kwa hiyo haina madhara hata wakigoma mwaka. 😅😅😅
 
Am trying to imagine muhimbili national hospital iingie kwenye mgomo [emoji44][emoji849]

National hospital kubwa ukanda huu ambayo ni kimbilio la mataifa yote ywnayotuzunguka,?

Hii national hospital yao haina tofauti na dispensary moja huko itigi kwa hiyo haina madhara hata wakigoma mwaka. [emoji28][emoji28][emoji28]
Operation kubwa ya kusimamisha moyo kwa masaa kadhaa bila kumuongezea mgonjwa damu.


Wataweza kweli.....?..kushindana nasi........?
 
Niwashukuru sana watumishi wote wa Afya kwa kujitoa kwenu kwa jamii yetu na nchi yetu.
mmekuwa wavumilivu na kutusaidia mno bila kujali malipo.
MWENYEZI MUNGU atawalipa.
Poleni wakenya nafikiri Rushwa na matumizi yasiyo sahihi ambayo wanasiasa wametumia kwa mgongo wao kimekuwa kikwazo kwao.
 

MY TAKE: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu fundi sana
walizusha Tanzania watu wanakufa mitaani kwa corona,leo watu wao wanakufa kama panzi kwa migomo tu
 
Back
Top Bottom