Mgomo wa Daladala jijini Mwanza tarehe 11.03.2024

City Of Lies

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
4,925
Reaction score
6,137
Mgomo wa daladala unatarajiwa kufanyika jijini Mwanza tarehe 11.03.2024. Chanzo ni uwepo wa bajaji zinazobeba abiria kutumia route moja na Daladala.

Nilifanikiwa kupata kipeperushi cha kuhimiza mgomo ambacho kila gari imelipia shilingi 1,000 kupata hicho kipeperushi kisha namba za usajili wa gari kuandikwa katika daftari.

LATRA tafuteni suluhu ya hili.

 
Maofisa wa latra tuko hapa, kama unataka kufutiwa leseni yako, jaribu kuacha kutoa huduma kwa wananchi uone, tutalala nawewe mbele mapema tu, ni onyo tunatoa, Msijaribu...
 
Maofisa wa latra tuko hapa, kama unataka kufutiwa leseni yako, jaribu kuacha kutoa huduma kwa wananchi uone, tutalala nawewe mbele mapema tu, ni onyo tunatoa, Msijaribu...
Sasa mkuu hao jamaa mpaka wanachukua pesa na kusambaza hizi taarifa hamko informed?
 
Hali ni mbaya sana nimeshuhudia bajaj za mizigo zikibeba abiria kupeleka mjini na wanafunzi wakirudi majumbani kwao, daladala zote zimegoma ukiikuta barabarani imewasha double hazard, haiendi.
 
Hali ni mbaya sana nimeshuhudia bajaj za mizigo zikibeba abiria kupeleka mjini na wanafunzi wakirudi majumbani kwao, daladala zote zimegoma ukiikuta barabarani imewasha double hazard, haiendi.
Hii nchi shida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…