Mgomo wa daladala Tanga waweka Diwani na Mbunge kwenye hali ngumu

Mgomo wa daladala Tanga waweka Diwani na Mbunge kwenye hali ngumu

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Ubovu wa barabara ya Tanga-Pangani umepelekea wenye magari na madereva wao kusitisha huduma za usafiri kutoka stendi kuelekea maeneo ya Tangasisi, Bwagamoyo, Mwakidila, Mwahako, Mchukuuni mpaka Machui kuwa kwenye wakati mgumu ndani ya siku mbili.

Uchakavu wa bara bara kuanzia mabanda ya papa ni mashimo yanayopolekea kuhatarisha usalama wa wenda kwa miguu na uharibifu wa vyombo vya moto. Katikati ya barabara kuna mahandaki ya kuweza mtu kufanya makazi yake .

Ukisikiliza wananchi hasira zao za kutokulipwa fidia za nyumba zao zilizobomelewa, hasira kuu wamezielekeza kwa mbunge wa Tanga mjini na diwani wa kata ya Tangasisi kushindwa kuwajibika kutatua kero zao za muda mrefu.

Inasemekana wenye bajaji pia wanazuiwa kubeba abiria wenye, kutamba ni bodaboda kwa hizi siku mbili mishikaki kama yote!

Mjumbe hauwawi!
Tukutane 2025!
 
Mabanda ya papa, commercial, mabanda ya masikini, majengo, magomeni, kisiwani, mwakidila, taili tatu.
 
Nimeona hamna hiace ya mchukuuni , Mwahako wala Machui ...Jmaa wanajitambua sana maana barabara ni mbvu sana .!
 
Hii ni tangu juzi sijaona hiace, kwa kweli barabara ni mbaya sana .
 
Tanga hamna abiria wengi kwahio sio mbaya acha bajaji zifanye kazi kwahao wachache waliopo.
Ubovu wa barabara ya Tanga-Pangani umepelekea wenye magari na madereva wao kusitisha huduma za usafiri kutoka stendi kuelekea maeneo ya Tangasisi, Bwagamoyo, Mwakidila, Mwahako, Mchukuuni mpaka Machui kuwa kwenye wakati mgumu ndani ya siku mbili.

Uchakavu wa bara bara kuanzia mabanda ya papa ni mashimo yanayopolekea kuhatarisha usalama wa wenda kwa miguu na uharibifu wa vyombo vya moto. Katikati ya barabara kuna mahandaki ya kuweza mtu kufanya makazi yake .

Ukisikiliza wananchi hasira zao za kutokulipwa fidia za nyumba zao zilizobomelewa, hasira kuu wamezielekeza kwa mbunge wa Tanga mjini na diwani wa kata ya Tangasisi kushindwa kuwajibika kutatua kero zao za muda mrefu.

Inasemekana wenye bajaji pia wanazuiwa kubeba abiria wenye, kutamba ni bodaboda kwa hizi siku mbili mishikaki kama yote!

Mjumbe hauwawi!
Tukutane 2025!
Hio ni route ya wilaya hadi wilaya, sio daladala hizi za kawaida za ndani ya mji.
 
Ubovu wa barabara ya Tanga-Pangani umepelekea wenye magari na madereva wao kusitisha huduma za usafiri kutoka stendi kuelekea maeneo ya Tangasisi, Bwagamoyo, Mwakidila, Mwahako, Mchukuuni mpaka Machui kuwa kwenye wakati mgumu ndani ya siku mbili.

Uchakavu wa bara bara kuanzia mabanda ya papa ni mashimo yanayopolekea kuhatarisha usalama wa wenda kwa miguu na uharibifu wa vyombo vya moto. Katikati ya barabara kuna mahandaki ya kuweza mtu kufanya makazi yake .

Ukisikiliza wananchi hasira zao za kutokulipwa fidia za nyumba zao zilizobomelewa, hasira kuu wamezielekeza kwa mbunge wa Tanga mjini na diwani wa kata ya Tangasisi kushindwa kuwajibika kutatua kero zao za muda mrefu.

Inasemekana wenye bajaji pia wanazuiwa kubeba abiria wenye, kutamba ni bodaboda kwa hizi siku mbili mishikaki kama yote!

Mjumbe hauwawi!
Tukutane 2025!
Wewe ni miongoni mwa mamluki wa bei chee, Sasa unamlilia nani humu? Endelea kusifu na kuabudu, Kapuku wee!!
 
Ubovu wa barabara ya Tanga-Pangani umepelekea wenye magari na madereva wao kusitisha huduma za usafiri kutoka stendi kuelekea maeneo ya Tangasisi, Bwagamoyo, Mwakidila, Mwahako, Mchukuuni mpaka Machui kuwa kwenye wakati mgumu ndani ya siku mbili.

Uchakavu wa bara bara kuanzia mabanda ya papa ni mashimo yanayopolekea kuhatarisha usalama wa wenda kwa miguu na uharibifu wa vyombo vya moto. Katikati ya barabara kuna mahandaki ya kuweza mtu kufanya makazi yake .

Ukisikiliza wananchi hasira zao za kutokulipwa fidia za nyumba zao zilizobomelewa, hasira kuu wamezielekeza kwa mbunge wa Tanga mjini na diwani wa kata ya Tangasisi kushindwa kuwajibika kutatua kero zao za muda mrefu.

Inasemekana wenye bajaji pia wanazuiwa kubeba abiria wenye, kutamba ni bodaboda kwa hizi siku mbili mishikaki kama yote!

Mjumbe hauwawi!
Tukutane 2025!
Mbunge Yuko maternity leave
 
Back
Top Bottom