Mgomo wa Kariakoo ungekuwa umefanywa na wamachinga Serikali ingeogopa, ila wafanyabiashara wenye maduka hawaitishi

Mgomo wa Kariakoo ungekuwa umefanywa na wamachinga Serikali ingeogopa, ila wafanyabiashara wenye maduka hawaitishi

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Habari wadau,

Ukweli mchungu ni kwamba wauza maduka Kariakoo mgomo wao hauna nguvu na wala serikali haiwaogopi sababu hawatishi. Machinga ndio wanatisha maana ni jeshi kubwa.

Kuna wakuu wa mikoa kibao walijaribu kutaka kuwaondoa wamachinga wakajikuta wamepoteza vyeo vyao.

Wamachinga walilalamika kidogo tu Rais mwenyewe aliogopa akasema sijasema wamachinga wafukuzwe bali nimesema wamachinga wapangwe.

Wafanyabiashara wa maduka hao hawana effect hivyo serikali hata haiwaogopi, wanavyoendelea kugoma kufungua maduka ni wanajitia hasara wenyewe tu, serikali haina cha kupoteza.

Pia soma ===> Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
 
Upo sahihi ndo maana mpka sasa serikali ipo kimya
 
habari wadau.

ukweli mchungu ni kwamba wauza maduka kariakoo mgomo wao hauna nguvu na wala serikali haiwaogopi sababu hawatishi.

Machinga ndio wanatisha maana ni jeshi kubwa.

kuna wakuu wa mikoa kibao walijaribu kutaka kuwaondoa wamachinga. wakajikuta wamepoteza vyeo vyao.

wamachinga walilalamika kidogo tu Rais mwenyewe aliogopa akasema sijasema wamachinga wafukuzwe bali nimesema wamachinga wapangwe.

wafanyabiashara wa maduka hao hawana effect hivyo serikali hata haiwaogopi,, wanavyoendelea kugoma kufungua maduka ni wanajitia hasara wenyewe tu. serikali haina cha kupoteza
Hamna Mtanzania mwenye uwezo wa kutetemesha serikali wawe wa machinga wana chuo au vijana wa shule, hamna watu walio jengewa uoga kama Mtanzania dunia nzima sisi ni majinga wakubwa.......tena sie ni manafiki wa kubwa angalia media house zote ziko kimya hamna anae ongelea huo mgomo.
 
Habari wadau,

Ukweli mchungu ni kwamba wauza maduka Kariakoo mgomo wao hauna nguvu na wala serikali haiwaogopi sababu hawatishi. Machinga ndio wanatisha maana ni jeshi kubwa.

Kuna wakuu wa mikoa kibao walijaribu kutaka kuwaondoa wamachinga wakajikuta wamepoteza vyeo vyao.

Wamachinga walilalamika kidogo tu Rais mwenyewe aliogopa akasema sijasema wamachinga wafukuzwe bali nimesema wamachinga wapangwe.

Wafanyabiashara wa maduka hao hawana effect hivyo serikali hata haiwaogopi, wanavyoendelea kugoma kufungua maduka ni wanajitia hasara wenyewe tu, serikali haina cha kupoteza.

Pia soma ===> Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
 
Back
Top Bottom