Mgomo wa St.John's umezua balaa

CHIPANJE

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2011
Posts
321
Reaction score
53
Inasemekana wanafunzi kumi na tano(15) wamesimamishwa masomo mpaka pale utawala wa chuo hicho utakapotoa maamuzi.


Wanafunzi walisalia wametakiwa kuripoti chuoni hapo siku ya tar.02 Jan.Watahitajika kudownload barua maalumu itakayowekwa kwenye mtandao na utawala wa chuo hicho.


Barua zao zitahitajika zijazwe na kupigwa mihuri na viongozi wao wa serikali za mitaa,wanafunzi wanaodaiwa watatakiwa kulipa ma madeni yote pamoja na kufanya udahili katika uwanja wa Jamhuri.
 
halafu wewe muongo sana. Eti uwanja wa Jamhuri!!!!!!
 
Siku hizi ndio kamekuwa kamtindo..wanafunzi kupelekwa Jamuhuri stadium kwa vyuo vya hapa Dodoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…