Ndugu 'Superman', 'Kweleakwelea', 'Jasusi', 'Mzee Invisible' na wengine jamvini, hebu ingieni msituni mara moja kutafuta taarifa kamili juu ya UDOM na madai haya ya mauaji.
Ni hatari sana kulinganisha UHAI WA MTU na kutamani kuficha mambo ili fulani aendelee kula keki asitimuliwe ofisi katika wizara fulani. Instances of 'EXTREME POLICE BRUTALITY' in Tanzania, excessive force on demostrators and rape case, the number of COLD-BLOOD KILLINGS, and prison silent murders are disturbingling on the rise SIDE-BY-SIDE with the increase in reports of MEGA-CORRUPTION scandles in our country.
Something is seriously wrong somewhere people on innocent university students merely using their constitutional rights to express their disatisfaction on certain things. Kuficha kifo ili waziri aendelee na kazi??? Na mambo yakija kujianika kweupeeee .... !!!!!
Halafu wanajamvini, tuone sababu ya kuwa Great Thinkers wa kweli wakati wote na tuwape wanafunzi hawa wa UDOM ushirikiano wanaouhitaji kwetu. Tusiwakemee wakati wote huku tukijua fika ya kwamba wakosaji wa hili na lile siku zote inakua ni mtu tu au kikundi kidogo miongoni mwao bila hata ya ridhaa yao.
Sidhani kama MAWAZIRI wetu hawa ambao miaka yote wajaa kiburi na kujiona zaidi ya binadamu wa kawaida, waanze tu hivi hivi kujikimbia Dodoma na kuendesha kikao hadi saa nane alfaji.
Si kawaida kwa serikali yetu ambayo kwake swala la uwajibikaji (ukiachilia mbali tu Mzee Mwinyi miaka hiyo, Pro Mbilinyi na Mporogomy) waanze tu kufumuka na KUKUBALI KILA KITU HADI NA YALE AMBAYO WANAFUNZI hawakuomba, kuna jambo zito ambalo magati yetu ya 'This Day', 'MwanaHalisi' tu ndio wanaoweza sasa kutupa HABARI KAMILI.
Hizi serikali zetu kunakonunuliwa vyeo siku zote ni kuburi kwa kwenda mbele. 'Wazee wa Africa Mashariki' hadi leo wanasota halafu ....