Mgomo wa UDOM: Ni kweli FFU waliua wanafunzi wawili?

Nasikia kule hali sio nzuri kunatokea machafuko makubwa hebu tuhabarisheni mliopo Dododma hasa hapo chuoni UDOM
 

Is it!or you are trying to instigate more chaos!!
 
acha uchawi... it is as if ungependa iwe kweli mpate kulaumu watu, na mpate boost ya jitihada zenu za kufanya nchi isitawalike.

 
Nasikia kule hali sio nzuri kunatokea machafuko makubwa hebu tuhabarisheni mliopo Dododma hasa hapo chuoni UDOM

Habari si ndo kama hz?!?kinachotakiwa ni kuzifanyia kazi habari kama hizi! Tetesi za ubakaji na mauaji siku ya mgomo wa wanafunz wa Social mwshon mwa Decemba zimezagaa sana miöngon mwa wanafunzi!wao wenyewe hawawez kuthibitisha kwan inasemekana taarifa zinafichwa!WANANCHI,VIONGOZI WA KADA MBALIMBALI+NA WOTE WENYE MAPENZ MEMA NA WATOTO/WAJUKUU ZETU KULE UDOM!!tuungane kupeleleza hili jambo ili ukweli uwekwe waz na wahusika wachukuliwe hatua kali!UDOSO FANYEN KAZ YENU!
 
Hii ndio Tanzania mpya MaMkwe! Ukweli hautakikani sana kama uongo unaowafurahisha wengi. Tunasahau kwamba tunaowapinga leo nao watakuwa wapinzani kesho... tunaowatungia uongo leo watakuwa watunga uongo wa kesho, tunaowafurahia leo, tutapingana nao kesho... basi na tujitahidi kuwa wenye kusimama kwenye ukweli kwa Tanzania ijayo.
 
 
Hamna mwanafunzi aliye kufa udom, ila kuna mwanafunzi mmoja yupo hospitali kutokana na kuchezea kichapo kutoka kwa FFU
 
UDOM hamna vurugu kupo shwali, vijana wanadai haki kisomi na kwa amani huku wakimsubiri kwa hamu Mizengo Pinda tu,
 
UDOM hamna vurugu kupo shwali, vijana wanadai haki kisomi na kwa amani huku wakimsubiri kwa hamu Mizengo Pinda tu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…