Janeth Thomson Mwambije
Member
- Apr 11, 2024
- 24
- 55
Ndugu Zangu Wafanyabiashara. Nafahamu Maumivu Yenu. Hakuna Anayefungua Biashara Ili Afunge. Hakuna Anayepambana Ili Afeli. Hakuna Anayejitahidi Kupiga Hatua Ili Arudi Nyuma. Hata Sasa Naamini Mmejitoa Sadaka Kuonesha Hisia Zenu Za Maumivu Na Siyo Kwamba Mmetosheka Na Utafutaji. Maumivu Yenu Nayaelewa.
Ni Imani Yangu Kubwa Kuwa Serikali Yetu Ya Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania, Itaboresha Sheria Ya Ukusanyaji wa Kodi Na Kuweka Mazingira Rafiki Ya Biashara Zenu Ili Kusaidia Muweze Kuhimili Uendeshaji wa Biashara Zenu. Kwani Lengo La Serikali Ni Kuboresha Maisha Ya Wananchi Wake, Na Nchi Kwa Ujumla, Na Siyo Kuwadidimiza.
Ni Imani Yangu Kuwa Serikali Yetu Ya Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania, Ni Serikali Sikivu, Hivyo Itakuja na Njia Mbadala Wa Kutatua Changamoto Zenu, Ikiwa Pia Ninyi Ni Kitovu cha Ukuaji wa Pato La Taifa La Tanzania. Nikiwa Kama Kiongozi wa UVCCM Wilaya Ya Ilala, Lilipo Soko La Kimataifa, Kariakoo, Nafahamu UMUHIMU Wenu, Wafanyabiashara. TUNAWATEGEMEA SANA.
Ni Imani Yangu Kubwa Kuwa Hampuuzwi Hata Thumni Kama Mnavyoweza Kufikiria, Ndiyo Maana Kumekuwa Na Ujio wa Viongozi Kwenye Masoko Yenu, Mfano Mnamo Mwaka Jana (Mei, 2023), Kulikuwa Na Ujio wa Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, Kusikiliza Changamoto Zenu. Hii Ni Ishara Ya Kwamba Mnathaminiwa, Na Kero Zenu Zinatafutiwa Mbadala, Ni Vile Si Kila Changamoto Huweza Kutatuliwa Kwa Wakati Mmoja, Hivyo Kulazimu Kuchukua Muda Kidogo.
Ni Imani Kubwa Kuwa Serikali Inaenda Kutatua Changamoto Zenu, Ikiwa Ni Pamoja Na Kufanya Mabadiliko Ya Sheria Ya Kodi, Pamoja Na Kuboresha Mazingira Yenu Ya Biashara. TUNAWATHAMINI. 🙏
Please #StopTheStrike
Naomba Kuwasilisha ✍️
#KaziIendelee🇹🇿
Ni Imani Yangu Kubwa Kuwa Serikali Yetu Ya Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania, Itaboresha Sheria Ya Ukusanyaji wa Kodi Na Kuweka Mazingira Rafiki Ya Biashara Zenu Ili Kusaidia Muweze Kuhimili Uendeshaji wa Biashara Zenu. Kwani Lengo La Serikali Ni Kuboresha Maisha Ya Wananchi Wake, Na Nchi Kwa Ujumla, Na Siyo Kuwadidimiza.
Ni Imani Yangu Kuwa Serikali Yetu Ya Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania, Ni Serikali Sikivu, Hivyo Itakuja na Njia Mbadala Wa Kutatua Changamoto Zenu, Ikiwa Pia Ninyi Ni Kitovu cha Ukuaji wa Pato La Taifa La Tanzania. Nikiwa Kama Kiongozi wa UVCCM Wilaya Ya Ilala, Lilipo Soko La Kimataifa, Kariakoo, Nafahamu UMUHIMU Wenu, Wafanyabiashara. TUNAWATEGEMEA SANA.
Ni Imani Yangu Kubwa Kuwa Hampuuzwi Hata Thumni Kama Mnavyoweza Kufikiria, Ndiyo Maana Kumekuwa Na Ujio wa Viongozi Kwenye Masoko Yenu, Mfano Mnamo Mwaka Jana (Mei, 2023), Kulikuwa Na Ujio wa Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, Kusikiliza Changamoto Zenu. Hii Ni Ishara Ya Kwamba Mnathaminiwa, Na Kero Zenu Zinatafutiwa Mbadala, Ni Vile Si Kila Changamoto Huweza Kutatuliwa Kwa Wakati Mmoja, Hivyo Kulazimu Kuchukua Muda Kidogo.
Ni Imani Kubwa Kuwa Serikali Inaenda Kutatua Changamoto Zenu, Ikiwa Ni Pamoja Na Kufanya Mabadiliko Ya Sheria Ya Kodi, Pamoja Na Kuboresha Mazingira Yenu Ya Biashara. TUNAWATHAMINI. 🙏
Please #StopTheStrike
Naomba Kuwasilisha ✍️
#KaziIendelee🇹🇿