mgomo wa wallimu je kwa serikari hii na chama chao tutafika?

The speaker

Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
5
Reaction score
0
kuhusu mgomo wa walimu kiukweli ccm wanatupeleka vibaya na wanatumia siasa katika mambo yasioitaji siasa, Maana walimu wetu ndio wanaowatengeneza wao wawe katika nafasi zao. kama Raisi wa nchi ndio anatoa tamko kama lile unategemea nini? watarudi shule lakini watakayoyafundisha ni kinyume na kinachotakiwa, Bila kujipanga hii serikari inabidi ijiuzuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…