King Innocent
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,046
- 715

Licha ya jitihada zilizofanywa na naibu waziri wa afya na mkuu wa mkoa wa Dodoma kuwatuliza wanafunzi wa kitivo cha elimu wasigome na kwamba Serikali yao sikivu itafanya kila jitihada kuhakikisha wanapata fedha hizo kwa haraka, jitihada hizo hazijazaa matunda kwani wanafunzi walisisitiza wataendelea na mgomo wao mpaka pale watakapolipwa fedha zao sababu hawawezi kusoma wakiwa na njaa.
update
Police wamefanikiwa kuzima maandamano kwa kutumia maji ya kuwasha pamoja na mabomu ya kutoa machozi, wanafunzi wengi wameumia na wengine wakamatwa.