KWETU PAZURI
Senior Member
- Oct 14, 2011
- 157
- 26
Sio kweli wakati mwingine ufuatiliaji wa karibu unaweza fanikisha jambo, c lazima mgome! umesahau watumishi wa umma kila kitu kwao lazima wafuatiliwe mgongo kwa mgongo ndo kitendeke?
udom hakuna mgomo wakigoma watagoma,education colege...hao wengne hamna ki2.