Mgomo waripuka cbe@ chuo cha biashara

Mgomo waripuka cbe@ chuo cha biashara

Mzee Wa Rubisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,757
Reaction score
442
Le wanafunzi wa BACHELOR mwaka wa kwanza wa pili na wa tatu wameshindwa kuanza mitihani ya kumaliza semister baadaya walimu kugoma kwa sababu wanadai mishahara pamoja na marupuru yao ya miezi mitatu
 
Inasemekana wa wanfunzi kuanza mugomo kupinga kuairishwa mitihani
 
Kwanza natamani sana CBE Dar kingefutwa kabisa, kinatoa shahadi zilizo chini ya kiwango kabisa. Visistadu pale chuoni havisomo ni kubana mwili na kutembea nusu uchu, wakati wa mitihani wanalobi ili waipate. Utakua mtu ana "A" zaidi ya 80% kwenye vyeti ila ukimpiga interview ni mtupu sana.

Ukienda kupmba chuo kwaajili ya masomo zaidi wakiona ni CBE wanasema hebu weka pembeni kwanza. Ukiomba kazi kama ni CBE inawekwa pembeni. Kwa hiyo hiki chuo ukichunguza kwa undani unaweza kuta hata wenye zero ya form four wanasoma mle ndani. Kipigwe chini kabisa
 
Kwanza natamani sana CBE Dar kingefutwa kabisa, kinatoa shahadi zilizo chini ya kiwango kabisa. Visistadu pale chuoni havisomo ni kubana mwili na kutembea nusu uchu, wakati wa mitihani wanalobi ili waipate. Utakua mtu ana “A” zaidi ya 80% kwenye vyeti ila ukimpiga interview ni mtupu sana.

Ukienda kupmba chuo kwaajili ya masomo zaidi wakiona ni CBE wanasema hebu weka pembeni kwanza. Ukiomba kazi kama ni CBE inawekwa pembeni. Kwa hiyo hiki chuo ukichunguza kwa undani unaweza kuta hata wenye zero ya form four wanasoma mle ndani. Kipigwe chini kabisa
Ni kiwango gani cha elimu inatolewa pale ni janga la kitaifa,yanayofanyika cbe yanafanyika na kwingine , Hutafuta vingapi sasa
 
Ni kiwango gani cha elimu inatolewa pale ni janga la kitaifa,yanayofanyika cbe yanafanyika na kwingine , Hutafuta vingapi sasa

Mm mkubwa, hapana, ni kweli vyuo vingi vina matatizo kama ya CBE ila CBE ni zaidi ya uozo, kwa ufupi pale hakuna shule hata 5% ? kuanzia waalimu wao hadi wanafunzi, Sijui ni mamlaka gani ndio inawajibika kwa chuo hiki.
 
Mm mkubwa, hapana, ni kweli vyuo vingi vina matatizo kama ya CBE ila CBE ni zaidi ya uozo, kwa ufupi pale hakuna shule hata 5% ? kuanzia waalimu wao hadi wanafunzi, Sijui ni mamlaka gani ndio inawajibika kwa chuo hiki.

wazee wa kuponda vyuo washaanza.
 
Hiki chuo nadhani kinasimamiwa na NACTE chini ya wizara ya viwanda na biashara. Hilo la mishahara inawezekana likawa halina ukweli. Labda malimbikizo yanayotokana na nyongeza.
Kuwa chini ya kiwango, halipingiki. Wengi wa wanafunzi wa pale wanapata shida kupata ajira. Ukweli chuo aidha kifutwe, au kimezwe na taasisi nyingine (kipotezewe kabisa) au ni major overhaul kuanzia kwa management, waalimu na wanafunzi.
 
Back
Top Bottom