Lumbi9 JF-Expert Member Joined Oct 12, 2014 Posts 8,666 Reaction score 12,178 Nov 13, 2015 #1 Wakuu, Mama analalamika mgongo kama unawaka moto, kuna dawa yoyote ya asili ya kuweza kumaliza adha hiyo. Asanteni!
Wakuu, Mama analalamika mgongo kama unawaka moto, kuna dawa yoyote ya asili ya kuweza kumaliza adha hiyo. Asanteni!
M Maabadi Hassan Member Joined Sep 29, 2016 Posts 23 Reaction score 9 Apr 22, 2017 #2 kwakweli mtafute mtaalam wa kienyeji na wala usipotrze mda kwanza mshauri afanzafanueafanye vipimo ospitali asipopata jawabu basi amuone mganga wa kkweli nasio tapeli
kwakweli mtafute mtaalam wa kienyeji na wala usipotrze mda kwanza mshauri afanzafanueafanye vipimo ospitali asipopata jawabu basi amuone mganga wa kkweli nasio tapeli
ndammu JF-Expert Member Joined Apr 21, 2017 Posts 3,971 Reaction score 4,440 Apr 22, 2017 #3 Mungu amtangulie.
NZURI PESA JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 5,958 Reaction score 2,954 Apr 22, 2017 #4 peterchoka said: Wakuu, Mama analalamika mgongo kama unawaka moto, kuna dawa yoyote ya asili ya kuweza kumaliza adha hiyo. Asanteni! Click to expand... KWANI ALIKWISHA TIBIWA HOSPITALI IKASHINDIKANA?
peterchoka said: Wakuu, Mama analalamika mgongo kama unawaka moto, kuna dawa yoyote ya asili ya kuweza kumaliza adha hiyo. Asanteni! Click to expand... KWANI ALIKWISHA TIBIWA HOSPITALI IKASHINDIKANA?