Belinda usitake nicheke mamie, mimi massage nafanya mwenyewe na hiyo aloe heat. Kiukweli sina wa kunifanyia massage hata BF sina mpaka nifanye mawindo mara moja moja tena kwa mbinde kweli kweli.
Duuu for real? I can be your part time massage expert? you do not have to pay me in dollars we can discuss....napenda in kind payments.....nimesomea hii massage Thailand ....you wont regret
Kiukweli sina wa kunifanyia massage hata BF sina mpaka nifanye mawindo mara moja moja tena kwa mbinde kweli kweli.
Ha!ha!ha!ha! umeiona hiyo eeeh!
BWT: Kaka siku hizi mummy mbona kama unamtenga sana....hasa wakati huu wa shida, mgongo unamuuma for real...ww unataka kum'Massage'' CD (Caroline Danzi)?.....mmepeana talaka tatu tayari?
Hahaha mama tupo vizuri, mgongo ulimuanza tulipokuwa vacation sijui kitu gani kilitokea....hujanisoma vizuri wakati nammassage CD Bellies anakuwa pembeni isije kukosea na kupata ajali kazini teheeheheeheheh
Duuu for real? I can be your part time massage expert? you do not have to pay me in dollars we can discuss....napenda in kind payments.....nimesomea hii massage Thailand ....you wont regret