daneyodry
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 350
- 227
Heshima kwenu wakuu poleni kwa majukumu kama kichwa cha habari kinavyojieleza naombe niulize.
Eti mtu aliyechomwa sindano za quinine akiwa mdogo na zikamuathiri uwezo wake wa kusikia, zinaweza kumletea na athari nyingine za ziada kutokana na sumu yake kukaa sana mwilini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti mtu aliyechomwa sindano za quinine akiwa mdogo na zikamuathiri uwezo wake wa kusikia, zinaweza kumletea na athari nyingine za ziada kutokana na sumu yake kukaa sana mwilini?
Sent using Jamii Forums mobile app