bado zipo ila baadhi ya nchi zlishapiga banKumbe hizi sindano bado zipo.
Matatizo ya masikio katika kusikia.
Tusubiri wataalam zaidi mkuu
nimegoogle mara nyngi ila naona tu side effect kwny maskio tusidhani ila waweza google side effect za quinine..
athari kubwa ni kupunguza uwezo wa kusikia au kuuwa kabisa masikio....
imetufanya wengi wetu tuishi Miserable life
Sent using Jamii Forums mobile app
sidhaninimegoogle mara nyngi ila naona tu side effect kwny maskio tu
ila kuna ndugu yangu ilimuathiri pia maeneo yanayokaribia taya na masikio--pamevimba kuliko kawaida
sasa sijui hii nayo itakuwa side effect yake
Sent using Jamii Forums mobile app