Mgonjwa mwenye 'high cholestral' atumie mafuta gani yasiyoongeza tatizo??

Asante sana mkuu Uchira 1.
Najua umeshusha nondo ya uhakika. Sio tu umejibu maswali bali umetoa shule kabisa.
Tunasubiri muendelezo wa hii mada.
 
Ajifunze kula mchemsho, olive oil ni nzuri lakini ale in moderation kama kunyunyiza juu ya salad. Kuna dawa za regulate cholesterol.
Sky eclat# nakukubali sana hakunaga mada unaachgaa kuchangia hta siku moja. Na unatoa jibu kwa usahihi big up
 
Hizi zinazo itwa ‘tafiti’ za ndizo zinazo changia kwa kiasi kikubwa kutuuwa
Mara leo hiki ni halali kesho haramu, keshokutwa haramu,.... nyambafu kabisaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…