Mgonjwa wa macho

ohhh! wengi wataugua macho ili tu waone "my milk is standing"
 
duu !wengi tutaugua macho ...of course nahisi napoteza visibility hiyo hosp iko wapi?
 
Mnnnh huyo babu alikuwa anapretend iweje akodellee my milk
 
hao manesi wametoa wapi hiyo mbinu wana roho nzuri
 
mwacheni babu wa watu labda kweli haoni ..lol
 
Ushauri wa bure kwa hiyo hospitali; inabidi waongeze wahudumu na dawa as in a very short time, they will have many patients, did i say i'll be one of them?:yield:
 
Oh!huyu nesi analeta utani kazini,Babu anaweza kufanya miujiza na hasa ukizingatia mashine haina macho,inafanya kazi kwa hisia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…