litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
Ungeelezea huo ugonjwa wa moyo ni upi,presha,kuziba kwa mirija ya moyo au kidonda kwenye moyo?,by the way pole sana mkuuNaweza nisiwe.katika jukwaa maalum,ila nina maswali nanataka nipatemajawabu yake
Kwmgonjwa wa moyo, anaweza kufanya mapenzi namkewe? Kama ndiyo, nikwa utaratibu upi...
🤣🤣🤣Hapana anashiriki tendo la talaka
Sasa mkuu una high BP, na bado unaendekeza ngono, SS si bola hizo Dawa ulizo pewa Uzi ache Uli ufe mapema,Kwani dawa za BP zinaua nguvu za mashine au genye zinapotea?
BP Ina mambo yake na haikatazwi ku sex maana sex inapunguza stress ndg yanguSasa mkuu una high BP, na bado unaendekeza ngono, SS si bola hizo Dawa ulizo pewa Uzi ache Uli ufe mapema,
Kuna stage ukifukia , baadhi ya vitu yakupasa kuacha kabisa
Jichanganye😅😅Naweza nisiwe.katika jukwaa maalum,ila nina maswali nanataka nipatemajawabu yake
Kwmgonjwa wa moyo, anaweza kufanya mapenzi namkewe? Kama ndiyo, nikwa utaratibu upi?
Kama sio, jawabu ni nini ili iwendio?
Au hawezi? Je pia kuna hatari zozote zile,kama ameshaoa?
Anyways,changamoto zao ni zipi wagonjwa wa miyo walio kwenye ndoa?
Asanteni sana...