Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Wadau nianze kwa kuwapa pole za mihangaiko ya kutwa mzima ya leo.
Nina ndugu yangu anaumwa ngoma yupo stage ya mwisho. Amepelkwa hospital nyingi kila hospital unapiga rufaa kwenda hospital nyingine kama vile hataki field pale.
Hali imekuwa mbaya zaidi maana hali, hatembei na ametokwa na vidonda mdomoni na kooni mwili umedhoofu sana. Wajuzi wa mambo tumsaidie ndugu yangu huyu kama kuna Tiba yeyote hata Tiba mbadala.
Note ameshaacha dawa ARV
Karibuni kwa michango yenu.
Nina ndugu yangu anaumwa ngoma yupo stage ya mwisho. Amepelkwa hospital nyingi kila hospital unapiga rufaa kwenda hospital nyingine kama vile hataki field pale.
Hali imekuwa mbaya zaidi maana hali, hatembei na ametokwa na vidonda mdomoni na kooni mwili umedhoofu sana. Wajuzi wa mambo tumsaidie ndugu yangu huyu kama kuna Tiba yeyote hata Tiba mbadala.
Note ameshaacha dawa ARV
Karibuni kwa michango yenu.
MREJESHO
Nawashukuru.
Mgonjwa ameshafariki. Ubarikiwe sana