Mgonjwa wangu anapata maumivu ya bega kwa miezi 3

Mgonjwa wangu anapata maumivu ya bega kwa miezi 3

mpndz

Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
80
Reaction score
46
Habar wana jf na wataalam wa afya kwa ujumla.

Nina mgonjwa kwa miezi 3 amekuwa akigugumia maumivu bega la upande wa kulia. Naomba ushauri wenu please kwani nimejaribu sana kumpa mazoezi ya kawaida na massage lakin juhudi hazijazaa matunda
 
Afanyiwe X ray, au MRI scan
Sawa nashkuru sana lkn nimekuwa naogopa sana hizi huduma za mionzi kwani kuna njia mbadala?
Nikadhani huenda ni sabb ya lifestyle yake ya kutungua nguo dukani na kutungika ndo sababu so nikajipa moyo huenda kwa massage ikafaa lkn naona sijapatia 🤔
 
Sawa nashkuru sana lkn nimekuwa naogopa sana hizi huduma za mionzi kwani kuna njia mbadala?
Nikadhani huenda ni sabb ya lifestyle yake ya kutungua nguo dukani na kutungika ndo sababu so nikajipa moyo huenda kwa massage ikafaa lkn naona sijapatia 🤔
Hujawahi kula chakula cha microwave? Huwa kinapashwa moto na mionzi pia. Kama kuna hatali binadamu tunaichukua kira siku ni usingizi, urishawahi kuwaza usipoamka je?
 
Sawa nashkuru sana lkn nimekuwa naogopa sana hizi huduma za mionzi kwani kuna njia mbadala?
Nikadhani huenda ni sabb ya lifestyle yake ya kutungua nguo dukani na kutungika ndo sababu so nikajipa moyo huenda kwa massage ikafaa lkn naona sijapatia [emoji848]
Kama hajapata ajali hilo eneo la bega...huyo ni mgonjwa anaitaji Physioterapy.
Nkupongeze kwa kumfanyia massage but massage ni sehemu ya ku stimukate misuri na mishipa ya fahamu.

Ila massage ni cha mtoto, anaitaji kufanyiwa TENS/Nerve stimulation kwa vifaa maalum na hii ufanywa idara ya Physiotherapy na zinapatikana hospitali zilizojipanga tu kutoa huduma kama Muhimbili kwa upande wa serikali.

Incase utaitaji huduma hii na upo Dar tuwasiliane
 
Kama hajapata ajali hilo eneo la bega...huyo ni mgonjwa anaitaji Physioterapy.
Nkupongeze kwa kumfanyia massage but massage ni sehemu ya ku stimukate misuri na mishipa ya fahamu.

Ila massage ni cha mtoto, anaitaji kufanyiwa TENS/Nerve stimulation kwa vifaa maalum na hii ufanywa idara ya Physiotherapy na zinapatikana hospitali zilizojipanga tu kutoa huduma kama Muhimbili kwa upande wa serikali.

Incase utaitaji huduma hii na upo Dar tuwasiliane
Nashkuru sana mkuu kwa ushauri, nitawacheck Physiotherapists waliopo BMC
 
Back
Top Bottom