Pole sana kamanda,na hakika Mwenyezi Mungu atamrehemu na kumpa nafasi ya kuwa ktk ufalme wake.Pole pia kwa wanafamilia kwa msiba mzito,mmepigania kwa nguvu na moyo wa kipekee uhai wake lakini bahati haikuwa kwenu,mwenyezi MUNGU akupeni moyo wa upendo na mshikamano ktk kipindi hiki cha majonzi mazito,awape faraja na neema zake nanyi muishi kwa umoja.poleni sana na be blessed guys!