Mgote physics anakariri vitu, haelewi

Mgote physics anakariri vitu, haelewi

Afrocentric view

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2022
Posts
1,374
Reaction score
2,280
Nilikuwa muumini wa muddy physics, pamoja na kuwa jamaa hakuwa na exercise nyingi na kusolve maswali kama Mgote ila jamaa alikuwa na uelewa mkubwa sana na physics. Mgote yeye amekariri tu na anaamini katika ule msuli tembo. Kinachombeba Mgote ni aina ya sylabus ya bongo inataka watu waliokariri maswali na sio wenye uelewa.

So utaishia kukariri na kufaulu mambo usiyoyaelewa na huwezi kuyaapply popote, ndio hawa wanaajiriwa mainjinia na GPA kubwa ila vilaza.

Muddy yeye alikuwa anakupa inspiration ya kuelewa madude. Kiukweli sylabus ya bongo wanatakiwa waitwist iendane hivi ili kutengeneza wanafunzi wenye uelewa ambao wanaweza kuapply waliyosoma na kuikwamua jamii.
 
Walimi sio mainjiania unataka waaplay wapi wao kazi yao kutindisha

Then umesema umesema huyo Mgote anakariri Mudy anaelewa na hujaonesha tofauti eti inspiration ndio nini
Nmesema wao waaply?
Wanafunzi wanaosoma kwa mentality ya kukariri ndio hawawezi kuapply maarifa yao popote.

Mgote anakukaririsha maswali mengi as possible ili ukikutana na maswali necta useme "Aah hili nilishalisolve kwenye kitini cha mgote"
ila ukikutana na ambalo hujasolve unapigwa za uso.

Muddy alikuwa anakufanya uielewe topic in such a way hata swali lijeje unakuwa unajua jinsi ya kuliapproach.
 
Nmesema wao waaply?
Wanafunzi wanaosoma kwa mentality ya kukariri ndio hawawezi kuapply maarifa yao popote.

Mgote anakukaririsha maswali mengi as possible ili ukikutana na maswali necta useme "Aah hili nilishalisolve kwenye kitini cha mgote"
ila ukikutana na ambalo hujasolve unapigwa za uso.

Muddy alikuwa anakufanya uielewe topic in such a way hata swali lijeje unakuwa unajua jinsi ya kuliapproach.
Hoja yako ku apply au Nini mbona hueleweki??

Kwahiyo hao waliosoma kwa Mgote mitihani walifauru au Nini??

Kukariri maanayake Nini na kuapply maanayake Nini??
 
Nilikuwa muumini wa muddy physics, pamoja na kuwa jamaa hakuwa na exercise nyingi na kusolve maswali kama mgote ila jamaa alikuwa na uelewa mkubwa sana na physics...Mgote yeye amekariri tu na anaamini katika ule msuli tembo.
Kinachombeba mgote ni aina ya sylabus ya bongo inataka watu waliokariri maswali na sio wenye uelewa.

So utaishia kukariri na kufaulu mambo usiyoyaelewa na huwezi kuyaapply popote, ndio hawa wanaajiriwa mainjinia na GPA kubwa ila vilaza.
Muddy yeye alikuwa anakupa inspiration ya kuelewa madude..kiukweli sylabus ya bongo wanatakiwa waitwist iendane hivi ili kutengeneza wanafunzi wenye uelewa ambao wanaweza kuapply waliyosoma na kuikwamua jamii.
Walimu wangepikwa wakaacha kucopy maswali kwenye Vitabu NECTA ,waweze kupika maswali ambayo hayapo kwenye rejea za Vitabu ndo utaona maajabu ya hapa bongo ,vijana watafeli kama kuku.
 
Wee kariri Kama unabisha subiri kuelewa sas wenzako wanapewa vitengo vikubwa wee unakadhana kuelewaaa Nani kakumbia bongo wanataka watu kuelewa watu tunataka kufaulu tu
Na hii ni sababu kubwa kwanini tokea 61 mpaka leo kuna vijiji hakuna maji, hospitali, shule, umeme, barabara wala vyoo
 
Hoja yako ku apply au Nini mbona hueleweki??

Kwahiyo hao waliosoma kwa Mgote mitihani walifauru au Nini??

Kukariri maanayake Nini na kuapply maanayake Nini??
Ukifanya kazi kwa wazungu hata kampuni zao hapa bongo halafu ufanye serikalini...utaona tofauti za kifikra.
Yani kwa wabongo wanafanya kazi kwa kukariri, kwasababu imekuwa ikifanyika hivyo jana na juzi hamna haja ya kubadilisha, na ukipropose mabadiliko watakupinga kwasababu wengi ni vilaza na wanaishi kwa kukariri.
Ndio sababu miaka 60 ya uhuru kila sekta imedorora hamna breakthrough
 
Nilienda ulaya miaka fulani.. kule ndo unaona application ya physics na hesabu katika kutoa solutions. Vyuo vyao vya tech viko vizuri sana. Makampuni madogo tu lakini yana labs za hatari wanaunda vitukonki
Yeah, elimu yetu pia tunatakiwa tuishape iende hivi..
Tukiendelea na hii system ya kukaririshana, tutaendelewa kutawaliwa na wazungu na wachina milele daima
 
Back
Top Bottom