Mgunda alishindaje gemu zake na akina Chasambi na Kabaraka. Tena bila upendeleo. Huyu ana Mavambo, Ahoua, Ateba anawaua na refa lakini wapi

Mgunda alishindaje gemu zake na akina Chasambi na Kabaraka. Tena bila upendeleo. Huyu ana Mavambo, Ahoua, Ateba anawaua na refa lakini wapi

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kuna vitu huwezi kufoji kabisa. Ukiwa na kocha mbovu utalaumu wachezaji bure tu.

hamtaki onana, fred na mh.

Hilo linauzi mnooo.

Kocha ashindwe kila timu aje aibukie simba. Hakuna mtu kabisa hapo
 
Kuna vitu huwezi kufoji kabisa. Ukiwa na kocha mbovu utalaumu wachezaji bure tu.

hamtaki onana, fred na mh.

Hilo linauzi mnooo.

Kocha ashindwe kila timu aje aibukie simba. Hakuna mtu kabisa hapo
Mgunda alipoingia alianza kuwachezesha wachezaji waliokuwa hawapati namba, ambao wapinzani hawajawazoea na kuwajua.
 
Kuna vitu huwezi kufoji kabisa. Ukiwa na kocha mbovu utalaumu wachezaji bure tu.

hamtaki onana, fred na mh.

Hilo linauzi mnooo.

Kocha ashindwe kila timu aje aibukie simba. Hakuna mtu kabisa hapo
Yaani hakuna neno mtaacha lisema;
1. Bahasha
2. Marefa
3. Mamluki
etc
 
TAFADHARI naomben nitajiwe orodha ya wachezaj 12 wa kigeni wa simba
 
Mgunda al
Amepoteza point ngapi na Mgunda alipoteza point ngapi? Tuanzie hapo
Mgunda hakupoteza toka apewe timu upya. Alidroo moja tu dhidi ya Kagera. Huyu mechi mbili refa anaingilia kati
 
Mgunda al
Mgunda hakupoteza toka apewe timu upya. Alidroo moja tu dhidi ya Kagera. Huyu mechi mbili refa anaingilia kati
simba wamepita makocha wengi sana ila huyu fadlu davids anajua mpaka anakera. Kocha la viwango vya kimataifa siku simba wakimfukuza ntaandamana peke yangu.
 
NGOJA NIKUFUNDISHE MPIRA SHABIKI WA YANGA(NYUMA MWIKO): kocha la boli fadlu mpaka sasa hivi ana miezi mi3 tu tangu akabidhiwe timu na wachezaji wote waliopo simba hajawasijili yeye wote kawakuta kasoro ateba tu ndio kamsajili yeye. Na hadi sasa hv kafanikiwa kuifanya simba iwe bora kwenye eneo la ulinzi kuliko simba zote. kwenye eneo la ushambuliaji bado simba inahangaika coz bado hatujapata muunganiko na kuna wachezaji wametudisapoint mfano mutale,kibu,mukwala ili timu iwe bora inahitaji vitu vi4 1.wachezaji bora 2.muunganiko 3.kocha bora mwenye mbinu bora. 3.muda. Simba ina wachezaji bora but kuna maeneo bado hatujapata wachezaji bora wanaoweza kuifanya simba iwe bora mfano hatuna wingers bora wenye madhara(no.7 na no.11) mutale hamna kitu kibu bado anajitafuta may be mpanzu anaweza kutibu hili tatizo. Tumpe muda mwalimu.
 
Yanga ndiyo timu pekee ya mpira wa miguu hapa Tanzania
 
Nani kocha bora simba? Uchebe aliyefanya tufungwe 5 kila mechi? Au gomez ambaye alitufanya tufungwe 4 dhidi ya kaizer? Au benchika aliyetufanya tufungwe nje ndani na al ahly?
 
Kuna vitu huwezi kufoji kabisa. Ukiwa na kocha mbovu utalaumu wachezaji bure tu.

hamtaki onana, fred na mh.

Hilo linauzi mnooo.

Kocha ashindwe kila timu aje aibukie simba. Hakuna mtu kabisa hapo
Wewe una chuki tu na huyo kocha siku zote unamnenea mabaya kama akuyombea mkeo vile hadi unakera.
 
Mechi zote awali marefa walikuwa upande wetu. Lakini kila mechi inayofata timu inapwaya. Viwango vya wachezaji vinakufa kila leo.

Ukweli simba isipojua ukweli, Kocha hawezi
 
Back
Top Bottom