Mgunda atatuvusha Afcon, Sina Shaka nae

Mgunda atatuvusha Afcon, Sina Shaka nae

Mr Alpha

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
273
Reaction score
765
Hatimaye mwamba Juma Mgunda amekabidhiwa timu ya taifa rasmi baada ya kocha Adel Amrouche kufungiwa na CAF. Juzi nilishauri kwamba kocha Adel Amrouche hatoshi atupishe ikibidi afukuzwe huko huko Ivory Coast kuna baadhi ya mashabiki maandazi wakataka kunitoboa macho hatimaye TFF imetangaza kumsimamisha kazi na timu amekabidhiwa mzawa Juma Mgunda na msaidizi wake Hemed Morocco.

Kocha Adel Amrouche alikuwa ameshakosa mbinu za kufundisha kuweza kuisaidia timu akahamia kwenye kichaka cha majungu na tuhuma za uongo dhidi ya Morocco jambo lililozua utata na CAF kutangaza kumfungia mechi 8 leo

Naamini Mgunda atatuvusha huyu tutarajie makubwa kwenye mechi hizi mbili zilizosalia

Iwe fundisho
1705679791769.jpg
 
Hatimaye mwamba Juma Mgunda amekabidhiwa timu ya taifa rasmi baada ya kocha Adel Amrouche kufungiwa na CAF. Juzi nilishauri kwamba kocha Adel Amrouche hatoshi atupishe ikibidi afukuzwe huko huko Ivory Coast kuna baadhi ya mashabiki maandazi wakataka kunitoboa macho hatimaye TFF imetangaza kumsimamisha kazi na timu amekabidhiwa mzawa Juma Mgunda na msaidizi wake Hemed Morocco.

Kocha Adel Amrouche alikuwa ameshakosa mbinu za kufundisha kuweza kuisaidia timu akahamia kwenye kichaka cha majungu na tuhuma za uongo dhidi ya Morocco jambo lililozua utata na CAF kutangaza kumfungia mechi 8 leo

Naamini Mgunda atatuvusha huyu tutarajie makubwa kwenye mechi hizi mbili zilizosalia

Iwe fundishoView attachment 2876747
kwahiyo mgunda ana mbinu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye mwamba Juma Mgunda amekabidhiwa timu ya taifa rasmi baada ya kocha Adel Amrouche kufungiwa na CAF. Juzi nilishauri kwamba kocha Adel Amrouche hatoshi atupishe ikibidi afukuzwe huko huko Ivory Coast kuna baadhi ya mashabiki maandazi wakataka kunitoboa macho hatimaye TFF imetangaza kumsimamisha kazi na timu amekabidhiwa mzawa Juma Mgunda na msaidizi wake Hemed Morocco.

Kocha Adel Amrouche alikuwa ameshakosa mbinu za kufundisha kuweza kuisaidia timu akahamia kwenye kichaka cha majungu na tuhuma za uongo dhidi ya Morocco jambo lililozua utata na CAF kutangaza kumfungia mechi 8 leo

Naamini Mgunda atatuvusha huyu tutarajie makubwa kwenye mechi hizi mbili zilizosalia

Iwe fundishoView attachment 2876747
Kwani TFF walimuokota wapi huyo amorouche?
 
Mgunda alikuwepo kama kocha msaidizi .
Tangu mwanzo..

kwa hiyo tuseme hakuna mabadiliko kwa kocha msaidizi

sijapenda kuendelea kumuweka kama msaidizi.
huyo Hemed Morocco hana maajabu
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Kabla ya mechi na baada ya mechi watahitaji wakalimani!
Mgunda ni msomi sana mkuu halafu ana exposure matata sio mtu poa anyway nimependa maamuzi ya caf angalau wametusaidia maana tukiwa tunaongea Ndumbaro na genge lake walikuwa wanafoka kweli NAO WAFUNGIWE
 
Mgunda ni msomi sana mkuu halafu ana exposure matata sio mtu poa anyway nimependa maamuzi ya caf angalau wametusaidia maana tukiwa tunaongea Ndumbaro na genge lake walikuwa wanafoka kweli NAO WAFUNGIWE
Kwa timu tuliyonayo na level ya ushindani kama tutapata point Moja katika mashindano haya kwangu litakua ni jambo kubwa Sana.
Ishu si kocha ata tungeruhusiwa tuingie na wachezji 12 Bado kwetu Ngoma ni Ngumu.
Hatuja andaa wachezaji wa kushindana Bali tunao wa kushiriki.
 
Back
Top Bottom