Mgunda na Matola anzeni na Kimoja kati ya hiki ili tumalize Biashara mapema kwa 'Wanyasa' tumsubiri ajae mbeleni...

Mgunda na Matola anzeni na Kimoja kati ya hiki ili tumalize Biashara mapema kwa 'Wanyasa' tumsubiri ajae mbeleni...

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Henock Inonga
5. Mohammed Outarra
6. Jonas Mkude
7. Kibu Denis
8. Sadio Kanoute
9. Moses Phiri
10. Football Genius Clatous Chama
11. Augustine Okra

au

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Kennedy Juma
5. Henock Inonga
6. Jonas Mkude
7. Augustine Okra
8. Sadio Kanoute
9. Moses Phiri
10. Football Genius Clatous Chama
11. Peter Banda

Tunaojua Mpira hatutaki kabisa kuona Mpuuzi Pape Ousmane Sakho anaanza ila Timu ikishashinda Goli kuanzia Tatu na zimebakia dakika 15 ndiyo mnaweza Kumuingiza ila akaendeleze Upuuzi wake ambao kwa muda huo utakuwa na Faida kwa Simba SC hasa katika Mbinu ya Kukaa na Mpira huku tukipoteza muda dakika ziishie tuwaondoe Wamalawi na tugange yajayo Kimashindano.

Na hata ikitokea mkamwanzisha huyu Pape Ousmane Sakho tafadhali mwambieni kabisa kuwa Wana Simba SC tumeshauchoka Utoto na Upuuzi wake na tunataka acheze Kitimu na kwa Ushirikiano zaidi na Wenzake na siyo Ubinafsi na Uchoyo wake ambao Kutwa huwa inaigharimu Timu hasa ikiwa inahitaji Ushindi muhimu na wa mapema.

Nawatakia SSC Mchezo Mwema leo.
 
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Henock Inonga
5. Mohammed Outarra
6. Jonas Mkude
7. Kibu Denis
8. Sadio Kanoute
9. Moses Phiri
10. Football Genius Clatous Chama
11. Augustine Okra

au

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Kennedy Juma
5. Henock Inonga
6. Jonas Mkude
7. Augustine Okra
8. Sadio Kanoute
9. Moses Phiri
10. Football Genius Clatous Chama
11. Peter Banda

Tunaojua Mpira hatutaki kabisa kuona Mpuuzi Pape Ousmane Sakho anaanza ila Timu ikishashinda Goli kuanzia Tatu na zimebakia dakika 15 ndiyo mnaweza Kumuingiza ila akaendeleze Upuuzi wake ambao kwa muda huo utakuwa na Faida kwa Simba SC hasa katika Mbinu ya Kukaa na Mpira huku tukipoteza muda dakika ziishie tuwaondoe Wamalawi na tugange yajayo Kimashindano.

Na hata ikitokea mkamwanzisha huyu Pape Ousmane Sakho tafadhali mwambieni kabisa kuwa Wana Simba SC tumeshauchoka Utoto na Upuuzi wake na tunataka acheze Kitimu na kwa Ushirikiano zaidi na Wenzake na siyo Ubinafsi na Uchoyo wake ambao Kutwa huwa inaigharimu Timu hasa ikiwa inahitaji Ushindi muhimu na wa mapema.

Nawatakia SSC Mchezo Mwema leo.
Genta, unamzungumziaje Dejan?
 
Naona Beki ameanza Kened na Mwenda na Kati ameanza Mzamiru

Tunataka ushindi tu. Kila la kheri Mnyama
 
Nadhani Kapombe bado hayuko vizuri
 

Attachments

  • 7a5b17203468438bb024c52664ba79bf.jpg
    7a5b17203468438bb024c52664ba79bf.jpg
    88.8 KB · Views: 4
Kapombe ni muda wa kustaafu sasa, usisubiri kuzimia uwanjani. Akicheza mechi moja anaumia, nje miezi miwili
 
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Henock Inonga
5. Mohammed Outarra
6. Jonas Mkude
7. Kibu Denis
8. Sadio Kanoute
9. Moses Phiri
10. Football Genius Clatous Chama
11. Augustine Okra

au

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Kennedy Juma
5. Henock Inonga
6. Jonas Mkude
7. Augustine Okra
8. Sadio Kanoute
9. Moses Phiri
10. Football Genius Clatous Chama
11. Peter Banda

Tunaojua Mpira hatutaki kabisa kuona Mpuuzi Pape Ousmane Sakho anaanza ila Timu ikishashinda Goli kuanzia Tatu na zimebakia dakika 15 ndiyo mnaweza Kumuingiza ila akaendeleze Upuuzi wake ambao kwa muda huo utakuwa na Faida kwa Simba SC hasa katika Mbinu ya Kukaa na Mpira huku tukipoteza muda dakika ziishie tuwaondoe Wamalawi na tugange yajayo Kimashindano.

Na hata ikitokea mkamwanzisha huyu Pape Ousmane Sakho tafadhali mwambieni kabisa kuwa Wana Simba SC tumeshauchoka Utoto na Upuuzi wake na tunataka acheze Kitimu na kwa Ushirikiano zaidi na Wenzake na siyo Ubinafsi na Uchoyo wake ambao Kutwa huwa inaigharimu Timu hasa ikiwa inahitaji Ushindi muhimu na wa mapema.

Nawatakia SSC Mchezo Mwema leo.

Wewe na mganga wa kienyeji, mchezesha manyanga na tunguli hakuna tofauti kati yenu! Kwa taarifa yako kikosi hakikuanza ulivyotaka wewe!
 
Back
Top Bottom