Mgunda na Matola wanatosha tuwape ushirikiano

Mgunda na Matola wanatosha tuwape ushirikiano

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
Hivi ni lini tutaanza kupenda vya kwetu!
Unakuta mtu anamchukia Matola!

Ukimuuliza sababu anasema amekaa muda mrefu! Hivyo tu!

Tangu lini kukaa muda mrefu sehemu ikawa kosa? Lipi baya ambalo matola amefanya?

Ndugu zangu tuache kuamini Kila mzungu ni Bora kuliko sisi, na kuendelea kutumia gharama nyingi bila sababu yoyote, Kikubwa Simba iwekeze kwenye kikosi, Wachezaji wapambane , Uongozi utoe ushirikiano na sisi washabiki tuwe nao kuwatia moyo!

Kwa muda mfupi uliokuwepo ingekuwa ni akili za kijinga kuchukua kocha mgeni nje ya Tanzania akae na timu Kwa muda huu, Lakini ikumbukwe katika mafanikio haya yote ya miaka mitano Kwa Simba huwezi kuacha kumtaja Matola.

Tuache Chuki na wivu
 
Matolo atamfanyia fitna mgunda
 
Mimi kama Utoporo Lialia, ninaikani na Matola na Mgunda. Wapewe timu mpaka mwisho wa msimu huku tukihangaika kutafuta mzungu mwingine
 
Timu kwa sasa apewe Abdallah Kibadeni na Jamhuri Kihwelo. Matola apumzike!! Na Juma Mgunda arudi kwenye timu yake ya Coastal Union.
 
Matola ni mswalihina mzuri.
...wafitini hawamuwezi yule anapiganiwa na allah.....achana na mtu ambae amejikabidhi kwa muumba alie juu.....matola anaswali usiku kucha na kufunga kula kwa wiki mara 2
 
Umenen vyema. Mgunda na Matola wanatosha.

Simba msifanye kosa LA kumleta Jamhuri Kihwelo hapo, ana majungu na muongo muongo balaa, kutwa visingizio. Namfananisha Jamhuri na Zahera, HAWA jamaa sana visingizio balaa wakati mpira unachezwa hadharani.
 
Back
Top Bottom