Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza kula sukari na vyakula vyenye sukari, baba yangu yeye ilikuwa mkono hospitali ilishindikana hadi alipopata miti shamba ndio alipona. Alikatazwa kutumia sukari pia wakati anatumia dawa.
any help?
Sindano za aina gani hizo, Mamito??? Au ni ile acupuncture ya kichina???dawa yake ni hii nunua sindano kam ishirini hivi
ziweke kwenye moto hadi zipate ,moto saaana ziwe nyeusi
from there anza kuchoma choma itatoka damu nyeusi choma choma kila mahali huko kwenye unyayo
Nitamtafuta Boflo anioneshe jasmine alipo
ndio anifanyie massage lol
hiyo hiyo hii tiba niliiona kijijini kwetu ila mchomwaji anashikiliwa na watu walioshiba ili asifurukute ...mchomaji anachoma non stop unyayo mzima..na kweli huwa inaponyesha hii tibaSindano za aina gani hizo, Mamito??? Au ni ile acupuncture ya kichina???
vile nipo mbali ningekupeleka ukachomwe yaani hutoamini ! mi nilishaona watu wakitibiwa hivimnhhh we mke wa maji marefu?
Kutoboa unyayo kwa sindano za moto? Hao watu wa kijijini kwenu kama siyo wachawi watukuwa mumiani!hiyo hiyo hii tiba niliiona kijijini kwetu ila mchomwaji anashikiliwa na watu walioshiba ili asifurukute ...mchomaji anachoma non stop unyayo mzima..na kweli huwa inaponyesha hii tiba