Mguuuuuuu................

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Mguu unaniuma hadi nachechemea
nimeenda hospitali wananipa dawa napata nafuu but siponi
nimepiga x ray hakuna kitu
sina kisukari wala chochote
but mguu unauma kwenye unyayo na vidole..
any help?
 
dawa yake ni hii nunua sindano kam ishirini hivi
ziweke kwenye moto hadi zipate ,moto saaana ziwe nyeusi
from there anza kuchoma choma itatoka damu nyeusi choma choma kila mahali huko kwenye unyayo
 
Punguza kula sukari na vyakula vyenye sukari, baba yangu yeye ilikuwa mkono hospitali ilishindikana hadi alipopata miti shamba ndio alipona. Alikatazwa kutumia sukari pia wakati anatumia dawa.
 
Punguza kula sukari na vyakula vyenye sukari, baba yangu yeye ilikuwa mkono hospitali ilishindikana hadi alipopata miti shamba ndio alipona. Alikatazwa kutumia sukari pia wakati anatumia dawa.

niulizie hiyo mitishamba yake aliotumia inaitwaje basi
 
dawa yake ni hii nunua sindano kam ishirini hivi
ziweke kwenye moto hadi zipate ,moto saaana ziwe nyeusi
from there anza kuchoma choma itatoka damu nyeusi choma choma kila mahali huko kwenye unyayo


mnhhh we mke wa maji marefu?
 
dawa yake ni hii nunua sindano kam ishirini hivi
ziweke kwenye moto hadi zipate ,moto saaana ziwe nyeusi
from there anza kuchoma choma itatoka damu nyeusi choma choma kila mahali huko kwenye unyayo
Sindano za aina gani hizo, Mamito??? Au ni ile acupuncture ya kichina???
 
Sindano za aina gani hizo, Mamito??? Au ni ile acupuncture ya kichina???
hiyo hiyo hii tiba niliiona kijijini kwetu ila mchomwaji anashikiliwa na watu walioshiba ili asifurukute ...mchomaji anachoma non stop unyayo mzima..na kweli huwa inaponyesha hii tiba
 
Mkuu sio Gout kweli hiyo?, hasa unapozungumza vidole, check level ya uric acid pamoja na protein kwenye mkojo
 
hiyo hiyo hii tiba niliiona kijijini kwetu ila mchomwaji anashikiliwa na watu walioshiba ili asifurukute ...mchomaji anachoma non stop unyayo mzima..na kweli huwa inaponyesha hii tiba
Kutoboa unyayo kwa sindano za moto? Hao watu wa kijijini kwenu kama siyo wachawi watukuwa mumiani!
 
hiyo hiyo hii tiba niliiona kijijini kwetu ila mchomwaji anashikiliwa na watu walioshiba ili asifurukute ...mchomaji anachoma non stop unyayo mzima..na kweli huwa inaponyesha hii tiba

kijiji chenu wapi huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…