Kwa hili naweka siasa pembeni huyu naibu waziri wa katiba na sheria mh!Angela Kairuki ni matumaini yangu atakuwa anandoa yake na familia
Ila ingelikuwa sio hivyo ningetangaza ni kwa njia na gharama yoyote maana mh anarangi ya mtume ngozi nyororo kama asali yani ni mtamu hata machoni ki ukweli,nimemwona ITV moyo ukanipasuka Paaa...!
Dah!basi tena acha waliowahi wafaidi
Kwa hili naweka siasa pembeni huyu naibu waziri wa katiba na sheria mh!Angela Kairuki ni matumaini yangu atakuwa anandoa yake na familia
Ila ingelikuwa sio hivyo ningetangaza ni kwa njia na gharama yoyote maana mh anarangi ya mtume ngozi nyororo kama asali yani ni mtamu hata machoni ki ukweli,nimemwona ITV moyo ukanipasuka Paaa...!
Dah!basi tena acha waliowahi wafaidi
i see.