Mh.Angela Kairuki ki ukweli Mungu kakujaalia


Nipe mkono wa pongezi hapahapa mkuu.
 
ha ha haa usiogope mueleze ukweli atakuelewa au nikupe namba yake
 
hivi kaolewa kweli au na yeye kipoozewa kama catheline magige

Ndio ameolewa na mtoto wa mzee hubert kairuki mmiliki wa hospital ya kairuki iliyopo mikocheni, nilisikia kuwa mumewe anafanya kazi ikulu amekaimu nafasi ya january makamba aliyoiacha kabla hajagombea ubunge.
 
Kairuki ni jina la mumewe ambaye ni mtoto wa mwisho wa mzee hubert kairuki mwenye hospital ya kairuki iliyopo mikocheni.

Ok kumbe vineema toka zamani kweli noti ni kama maji hufuata mkondo tu!
 
Ndio ameolewa na mtoto wa mzee hubert kairuki mmiliki wa hospital ya kairuki iliyopo mikocheni, nilisikia kuwa mumewe anafanya kazi ikulu amekaimu nafasi ya january makamba aliyoiacha kabla hajagombea ubunge.

Huo ndio ukweli
 
Mimi namjua mama yake mzazi anaitwa Esther mkwizu ni non executive director wa B.O.T
ni kweli kabisa.na kuna siku nilikuwa naangalia bunge hili lililoisha mama yake alitambulishwa kama mmoja wa wageni(Mjumbe wa bodi au kamati flani siku ya bajeti ya wizara ya fedha) ,spika baada ya kumtaja Ester Mkwizu akaongeza na kusema huyu ndo mama mzazi wa naibu waziri wa katiba na sheria Mhe Angella Kairuki!
 
kuhusu uzuri kwa kweli ni mzuri ,ni mbantu halisi kwa umbo na ukichanganya na rangi yake ile,na zile lips zake!mi mwanamke mwenzake lakini namtambua ni mrembo!ukiongeza na ule upole wake,aaah acheni Kaka wa watu apagawe!
 
Jamani kuna mbunge wa viti maaluum Rita Kabati naye kaumbika
 

Hahhhhhhhaaaa uwiiiu ehee je mkeo ana miguu ya bia au !!!!!!????
 
Jamanii tuwekee picha ya huyo ummy tulinganishe
 
Jamani mwenye picha ya Ummya aiweke tulinganishe, mimi nilisha waona wote kwa video ndio maana nikasema Ummy is number one
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…