Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Nov 29, 2013 #1 amepotea sana huyu mama yetu maarufu kwa ktema cheche bungeni, nilipita ile barabara inayokatiza kwenda jimboni kwake na baada ya kuiona bado ya vumbi nikamkumbuka sana, kwamba cheche zote zile hajaambulia walau kiwango cha changarawe
amepotea sana huyu mama yetu maarufu kwa ktema cheche bungeni, nilipita ile barabara inayokatiza kwenda jimboni kwake na baada ya kuiona bado ya vumbi nikamkumbuka sana, kwamba cheche zote zile hajaambulia walau kiwango cha changarawe
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Nov 29, 2013 #2 Ukweli ulio wazi wana siasa wetu wako kwa sababu wao kipindi wanapopata nyadhifa hujisahau sana na wananchi hata wanaposema Daima hupuuzwa japo kweli Nchi hii kubwa lakini kuna baadhi ya majimbo asilimia kubwa ya watu wasiowahi kufika sehemu hizo Huvuta hisia kuwa jimbo flani wana Mbunge maarufu basi kule mambo yao ni kama "Nchi ya Asali na MaziwA" lakini daima sivyo Baadhi ya majimbo miaka mitano inakwisha na hali ni mbaya yaani kama vile hakuna mwakilishi kule Bungeni.
Ukweli ulio wazi wana siasa wetu wako kwa sababu wao kipindi wanapopata nyadhifa hujisahau sana na wananchi hata wanaposema Daima hupuuzwa japo kweli Nchi hii kubwa lakini kuna baadhi ya majimbo asilimia kubwa ya watu wasiowahi kufika sehemu hizo Huvuta hisia kuwa jimbo flani wana Mbunge maarufu basi kule mambo yao ni kama "Nchi ya Asali na MaziwA" lakini daima sivyo Baadhi ya majimbo miaka mitano inakwisha na hali ni mbaya yaani kama vile hakuna mwakilishi kule Bungeni.
theki JF-Expert Member Joined Nov 1, 2013 Posts 2,721 Reaction score 585 Nov 29, 2013 #3 Muulize Mzee Malecela.
Kazitunayo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2013 Posts 3,782 Reaction score 3,199 Nov 29, 2013 #4 Le mutuz tuambie mama yuko wapi
Utingo JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 10,266 Reaction score 8,085 Nov 29, 2013 #5 Ana frustration ya Le Mutuz...jitu lina miaka 55 linarudi kuwa kula kulala kwa baba, mama atakuwa na amani?
Ana frustration ya Le Mutuz...jitu lina miaka 55 linarudi kuwa kula kulala kwa baba, mama atakuwa na amani?
kiruu Senior Member Joined Aug 30, 2013 Posts 167 Reaction score 20 Nov 30, 2013 #6 siku hizi kakichubua simpendi kaniboa anstufumdisha mm? sisi