Mh Dotto Biteko anahujumiwa na Tanesco?sio kwa kukatika umeme huku akiwa Naibu Waziri mkuu cheo kikubwa matokeo 0.

Mh Dotto Biteko anahujumiwa na Tanesco?sio kwa kukatika umeme huku akiwa Naibu Waziri mkuu cheo kikubwa matokeo 0.

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Jiji la Da resalaam limekumbwa na karhia nzio ya kukatika katika kwa umeme swali ni je Dotto Biteko anahujumiwa?

Hivi ni zipi impact za elimu zao Hawa watawala vijana walio pata PhD juzii juzii TU

Mfano yeye ni Dr impact za udakitari wake katika serikali ya awamu ya Tani ni zipi?
Je seleman jaffo?je mwiguli mchemba impact ya elimu zao ni koi?
 
Wanamfanyia makusudi.

Tangu alivyowatembelea na kuwapiga biti ni kama wameamua kumkomoa.
Wanaukata ki too personal
 
Back
Top Bottom