Sikununu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 341
- 100
Baada ya kujifanya mie kidume mtaani na kupiga baadhi ya mademu waliokuwa wananiletea shobo sasa naona bwimbwi linanishinda
Nilihamua kuachana na vishankupe hao baada ya my wife kugundua na kunifinya sana niache hiyo tabia maana walikuwa wameshaanza kumpiga vijembe kila wanapokutana bombani au gengeni..nampenda sana my wife mara nyingi namtania kwa jina la utani mama havintishi
Huku uswahilini tulishazoea vijembe vya hapa na pale hususani wakina Dada wanapokuwa wamekaa vibarazani au nje kwenye mkeka na kuanza kuropoka huku midomo wameibenua na vidole juu..tokea enzi za eeh eehh haloo ikaja eeehh eeehh utajiju mpaka eehh eehh ndio basii tena..mie miaka yote nawaenjoy tu
Sasa kumbe mwaka huu wangu maana wale wadada na vishankupe niliopiga baada ya kuona nimewachunia si ndio wameunda kama muungano wakaanza vijembe kila ninapopita na wife mpaka najistukia na wife anakasirika sana maana utaskiaa "eeehhh eeehhh jipu hilo" wengine wanajibu "eeehh litumbuliwe" mpaka nikawa najiuliza au ichi kitambi nilichokuwa nacho ndio jipu lenyewe
Yaani hapa nilipo natafuta chumba nihame uku uswahilini..duh
Naombeni ushauri
Nilihamua kuachana na vishankupe hao baada ya my wife kugundua na kunifinya sana niache hiyo tabia maana walikuwa wameshaanza kumpiga vijembe kila wanapokutana bombani au gengeni..nampenda sana my wife mara nyingi namtania kwa jina la utani mama havintishi
Huku uswahilini tulishazoea vijembe vya hapa na pale hususani wakina Dada wanapokuwa wamekaa vibarazani au nje kwenye mkeka na kuanza kuropoka huku midomo wameibenua na vidole juu..tokea enzi za eeh eehh haloo ikaja eeehh eeehh utajiju mpaka eehh eehh ndio basii tena..mie miaka yote nawaenjoy tu
Sasa kumbe mwaka huu wangu maana wale wadada na vishankupe niliopiga baada ya kuona nimewachunia si ndio wameunda kama muungano wakaanza vijembe kila ninapopita na wife mpaka najistukia na wife anakasirika sana maana utaskiaa "eeehhh eeehhh jipu hilo" wengine wanajibu "eeehh litumbuliwe" mpaka nikawa najiuliza au ichi kitambi nilichokuwa nacho ndio jipu lenyewe
Yaani hapa nilipo natafuta chumba nihame uku uswahilini..duh
Naombeni ushauri